Wapinzani hakuna atakayewaruhusu mgawe vyakula kwa wananchi; mnajisumbua bure tu!

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Mwenye mamlaka ya kutangaza njaa nchini ni rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania;

Hakuna nchi yeyote Duniani chama cha siasa kinaweza kujiamulia kugawa chakula kwa wananchi pasipo serikali husika kupitia kitengo maalumu cha kushughulikia maafa kufanya hivo;

VYAMA VYA UPINZANI havina kitengo cha maafa chenye wataalam wakufanya kazi hiyo, Leo hii kila chama kigawe chakula hiyo itakua nchiii au Danguro? Ikitokea wakagawa chakula chenye sumu nani atalaumiwa? Wanauwezo gani kitaalam kufanya hivo?

Haiwezekani

“CHADEMA wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

ACT WAZALENDO wagawe chakula Serikali iwatazame tu…!

CUF wagawe chakula serikali iwachekee tu….!

UDP wagawe chakula serikali iwatazame tu…..!

TLP wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

NCCR wagawe chakula serikali iwatazame tu…..Hiiiih BHAGOSHAA.. labda isiwe serikali hii ya awamu ya Tano.

Leo LOWASSA kupitia kanisa la KKT kaahidi kugawa chakula, Kama LOWASSA na Chadema yake wana nia ya dhati; wapeleke hivyo vyakula ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa; Serikali wakati ukifika itaamua ikigawe vipi;

KAMA KUNA VYAMA VITARUHUSIWA KUGAWA CHAKULA HOVYO HOVYO LABDA SIYO NCHI HII
 
Mwenye mamlaka ya kutangaza njaa nchini ni rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania;

Hakuna nchi yeyote Duniani chama cha siasa kinaweza kujiamulia kugawa chakula kwa wananchi pasipo serikali husika kupitia kitengo maalumu cha kushughulikia maafa kufanya hivo;

VYAMA VYA UPINZANI havina kitengo cha maafa chenye wataalam wakufanya kazi hiyo, Leo hii kila chama kigawe chakula hiyo itakua nchiii au Danguro? Ikitokea wakagawa chakula chenye sumu nani atalaumiwa? Wanauwezo gani kitaalam kufanya hivo?

Haiwezekani

“CHADEMA wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

ACT WAZARENDO wagawe chakula Serikali iwatazame tu…!

CUF wagawe chakula serikali iwachekee tu….!

UDP wagawe chakula serikali iwatazame tu…..!

TLP wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

NCCR wagawe chakula serikali iwatazame tu…..Hiiiih BHAGOSHAA.. labda isiwe serikali hii ya awamu ya Tano.

Leo LOWASSA kupitia kanisa la KKT kaahidi kugawa chakula, Kama LOWASSA na Chadema yake wana nia ya dhati; wapeleke hivyo vyakula ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa; Serikali wakati ukifika itaamua ikigawe vipi;

KAMA KUNA VYAMA VITARUHUSIWA KUGAWA CHAKULA HOVYO HOVYO LABDA SIYO NCHI HII
Mara nyingi ukiwa unakaribia kuwa kichaa kamili ni lazima udhani kwamba vyama vya upinzani si sehemu ya tanzania na hawana haki yeyote tanzania wala kwa watanzania wakati huo unasahau wakati wa tetemeko la kagera lilipita bakuli kila mahali kuchangisha michango bila kujali ACT,CHADEMA ,CCM ,NK Jiangalie vizuri ubongo unaelekea kuvilia maana hauutumii kikamilifu kufikiri,inamana vyama vya upinzani sio watu wenye sifa kusaidia watanzania wenzao!! Au kuwa wapinzan kunawatoa uhalali huo?? na wote watakao kuunga mkono PTUUUUUU!
 
Mleta mada naona hata huelewi chochote, umeandika kwa chuki zako tu dhidi ya Lowassa na CHADEMA.

Kama Serikali inasema hakuna njaa, na hata kama kutatokea njaa haitapeleka chakula cha msaada kwa mtu yoyote, halafu hapo hapo wewe mleta mada unataka watu wapeleke misaada serikalini ili serikali ikaigawe. Huo utakuwa ni wendawazimu mkubwa.
 
Lazima utakuwa umewehuka wewe siyo bure!!

Yaani unataka misaada ya chakula ipelekwe kitengo cha maafa cha ofisi ya waziri mkuu wakati huo huo hao hao wanaamini kuwa hakuna tatizo la njaa kwa baadhi ya maeneo nchini!!??

Unataka kutuvunia dhambi ya kujutia kutoa misaada serikalini kama tulivyofanya huko Kagera siyo?

Tafadhali ndugu, acha hizo....acha kutuona hamnazo sisi!!

By the way, sisi huku kwetu Shinyanga leo tu tumesaidia watu chakula kwa sababu hatukuwa na kamwe hatuwezi kuwa na sababu yoyote kuomba ruhusa kwa kiongozi yeyote au mamlaka yoyote ya serikali kusaidia watu wanaohitaji kusaidiwa!

Kama wewe na serikali yako mnaona ni ni nongwa sisi wengine kusaidia moja kwa moja wanaohitaji kusaidiwa, njooni mtukamate haraka mtupeleke mahakamani tukawagaragaze huko huko pamoja na kuwa mahakama ni zenu!!
 
Kwahiyo nia.yenu watu wafe ndo fur aha yenu? Mnataka kikusanywe tena huko kuishia chateau?
 
Naunga mkono hoja; wakiruhusiwa kugawa chakula kutakuwa na vurugu tupu mtaani; watawagawa wananchi kwa fujo, wasiruhusiwe kabisaaaaa hawachelewi kuwagawia vyakula vya sumu wana CCM
 
Mwenye mamlaka ya kutangaza njaa nchini ni rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania;

Hakuna nchi yeyote Duniani chama cha siasa kinaweza kujiamulia kugawa chakula kwa wananchi pasipo serikali husika kupitia kitengo maalumu cha kushughulikia maafa kufanya hivo;

VYAMA VYA UPINZANI havina kitengo cha maafa chenye wataalam wakufanya kazi hiyo, Leo hii kila chama kigawe chakula hiyo itakua nchiii au Danguro? Ikitokea wakagawa chakula chenye sumu nani atalaumiwa? Wanauwezo gani kitaalam kufanya hivo?

Haiwezekani

“CHADEMA wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

ACT WAZARENDO wagawe chakula Serikali iwatazame tu…!

CUF wagawe chakula serikali iwachekee tu….!

UDP wagawe chakula serikali iwatazame tu…..!

TLP wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

NCCR wagawe chakula serikali iwatazame tu…..Hiiiih BHAGOSHAA.. labda isiwe serikali hii ya awamu ya Tano.

Leo LOWASSA kupitia kanisa la KKT kaahidi kugawa chakula, Kama LOWASSA na Chadema yake wana nia ya dhati; wapeleke hivyo vyakula ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa; Serikali wakati ukifika itaamua ikigawe vipi;

KAMA KUNA VYAMA VITARUHUSIWA KUGAWA CHAKULA HOVYO HOVYO LABDA SIYO NCHI HII

Aligawa nyerere vutabu vya ration kila kaya. Wacheee bla bla wapige muziki
 
Mwenye mamlaka ya kutangaza njaa nchini ni rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania;

Hakuna nchi yeyote Duniani chama cha siasa kinaweza kujiamulia kugawa chakula kwa wananchi pasipo serikali husika kupitia kitengo maalumu cha kushughulikia maafa kufanya hivo;

VYAMA VYA UPINZANI havina kitengo cha maafa chenye wataalam wakufanya kazi hiyo, Leo hii kila chama kigawe chakula hiyo itakua nchiii au Danguro? Ikitokea wakagawa chakula chenye sumu nani atalaumiwa? Wanauwezo gani kitaalam kufanya hivo?

Haiwezekani

“CHADEMA wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

ACT WAZARENDO wagawe chakula Serikali iwatazame tu…!

CUF wagawe chakula serikali iwachekee tu….!

UDP wagawe chakula serikali iwatazame tu…..!

TLP wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

NCCR wagawe chakula serikali iwatazame tu…..Hiiiih BHAGOSHAA.. labda isiwe serikali hii ya awamu ya Tano.

Leo LOWASSA kupitia kanisa la KKT kaahidi kugawa chakula, Kama LOWASSA na Chadema yake wana nia ya dhati; wapeleke hivyo vyakula ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa; Serikali wakati ukifika itaamua ikigawe vipi;

KAMA KUNA VYAMA VITARUHUSIWA KUGAWA CHAKULA HOVYO HOVYO LABDA SIYO NCHI HII
Well said Amen RA
 
Mwenye mamlaka ya kutangaza njaa nchini ni rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania;

Hakuna nchi yeyote Duniani chama cha siasa kinaweza kujiamulia kugawa chakula kwa wananchi pasipo serikali husika kupitia kitengo maalumu cha kushughulikia maafa kufanya hivo;

VYAMA VYA UPINZANI havina kitengo cha maafa chenye wataalam wakufanya kazi hiyo, Leo hii kila chama kigawe chakula hiyo itakua nchiii au Danguro? Ikitokea wakagawa chakula chenye sumu nani atalaumiwa? Wanauwezo gani kitaalam kufanya hivo?

Haiwezekani

“CHADEMA wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

ACT WAZARENDO wagawe chakula Serikali iwatazame tu…!

CUF wagawe chakula serikali iwachekee tu….!

UDP wagawe chakula serikali iwatazame tu…..!

TLP wagawe chakula serikali iwatazame tu….!

NCCR wagawe chakula serikali iwatazame tu…..Hiiiih BHAGOSHAA.. labda isiwe serikali hii ya awamu ya Tano.

Leo LOWASSA kupitia kanisa la KKT kaahidi kugawa chakula, Kama LOWASSA na Chadema yake wana nia ya dhati; wapeleke hivyo vyakula ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa; Serikali wakati ukifika itaamua ikigawe vipi;

KAMA KUNA VYAMA VITARUHUSIWA KUGAWA CHAKULA HOVYO HOVYO LABDA SIYO NCHI HII
wew una maana hata wazazi wako wakiumwa njaa basi usiwape chakula mpaka magu atamke? Huu ndiyo ujinga unaowafanya muwe watumwa wa kujiamulia. Ipo siku magu kwa mawazo yake atakupangia ratiba ya kukutana faragha na mkeo!.
 
Jamani kama ni chuki sasa imezidi kiwango . Yaani unataka watu wasipewe chakula kwa sababu za kisiasa tu!!!

Kwa nini awamu hii watanzania tunachukiana sana?

Nini kimetukumba?

Nani asiyeijua njaa na ubaya wake?

Tuache hizo tupendane jamani......
 
wew una maana hata wazazi wako wakiumwa njaa basi usiwape chakula mpaka magu atamke? Huu ndiyo ujinga unaowafanya muwe watumwa wa kujiamulia. Ipo siku magu kwa mawazo yake atakupangia ratiba ya kukutana faragha na mkeo!.
wewe una matatizo ya akili...Inamaa ukitaka kumpa babako msaada unawapanga foleni kijiji kizima? FIKIRIA HATA KIDOGO...leo hii vyama vya upinzane waingie mtaani na magunia wagawe hiyo itatafsiliwa vipi? uhalali wa hicho chakula upoje? acha mihemko kutatua macha ya jamii yana taratibu zake. Huo usalama wa wanachi umeufikilia?
 
Back
Top Bottom