Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Makamu wa Rais DR Mohamed Ghalib Bilal amepokea wanachama 2000 kutoka vyama mbali mbali vya upinzani mkoani pwani.
wanachama hao 2000 walikabidhiwa kadi za CCM katika maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa chama hicho ambapo katika hotuba yake Dr Bilal aliwapongeza kwa kujitambua kwao na kuamua kurudi nyumbani.
Bilal alitabiri CCM kuongoza Nchi hadi mwaka 3000.
My take;Hili ni pigo kubwa sana kwa upinzani.
wanachama hao 2000 walikabidhiwa kadi za CCM katika maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa chama hicho ambapo katika hotuba yake Dr Bilal aliwapongeza kwa kujitambua kwao na kuamua kurudi nyumbani.
Bilal alitabiri CCM kuongoza Nchi hadi mwaka 3000.
My take;Hili ni pigo kubwa sana kwa upinzani.