Wapinzani 2000 Kibaha warejea CCM

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Makamu wa Rais DR Mohamed Ghalib Bilal amepokea wanachama 2000 kutoka vyama mbali mbali vya upinzani mkoani pwani.

wanachama hao 2000 walikabidhiwa kadi za CCM katika maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa chama hicho ambapo katika hotuba yake Dr Bilal aliwapongeza kwa kujitambua kwao na kuamua kurudi nyumbani.


Bilal alitabiri CCM kuongoza Nchi hadi mwaka 3000.


My take;Hili ni pigo kubwa sana kwa upinzani.
 
Tokapa we!!!! Toka lini kukawa na wapinzani Kibaha? Labda wamatoka CUF.
 
Makamu wa Rais DR Mohamed Ghalib Bilal amepokea wanachama 2000 kutoka vyama mbali mbali vya upinzani mkoani pwani.

wanachama hao 2000 walikabidhiwa kadi za CCM katika maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa chama hicho ambapo katika hotuba yake Dr Bilal aliwapongeza kwa kujitambua kwao na kuamua kurudi nyumbani.


Bilal alitabiri CCM kuongoza Nchi hadi mwaka 3000.


My take;Hili ni pigo kubwa sana kwa upinzani.
kWA KIBAHA HATA WANGEKUWA 100,000, hawana ishu!
Watu wa Pwani hawaaminiki hata sekunde moja!
Hamuoni mikoa inayoleta mageuzi ni ipi jamani?
 
Angalia usije ukapoteza hata ile hadhi ndogo uliyobaki nayo!
 
Kitengo cha propaganda ni muhimu katika kuimarisha chama - Baba Riz 1
 
he he he propaganda za kudanganya watu kuwa hali ya chama ni nzuri.....mbona wanachama wakiondoka hawatangazi?
 
Makamu wa Rais DR Mohamed Ghalib Bilal amepokea wanachama 2000 kutoka vyama mbali mbali vya upinzani mkoani pwani.

wanachama hao 2000 walikabidhiwa kadi za CCM katika maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa chama hicho ambapo katika hotuba yake Dr Bilal aliwapongeza kwa kujitambua kwao na kuamua kurudi nyumbani.


Bilal alitabiri CCM kuongoza Nchi hadi mwaka 3000.


My take;Hili ni pigo kubwa sana kwa upinzani.

Ukirudi nyuma ina maana hujajitambua; kujitambua ni kusonga mbele.
 
Makamu wa Rais DR Mohamed Ghalib Bilal amepokea wanachama 2000 kutoka vyama mbali mbali vya upinzani mkoani pwani.

wanachama hao 2000 walikabidhiwa kadi za CCM katika maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa chama hicho ambapo katika hotuba yake Dr Bilal aliwapongeza kwa kujitambua kwao na kuamua kurudi nyumbani.


Bilal alitabiri CCM kuongoza Nchi hadi mwaka 3000.


My take;Hili ni pigo kubwa sana kwa upinzani.

mkutano wa bilali hata watu 300 sijui ka wamefika, sasa sijui hao 2000 wanatokea wapi!nape at work or tambwe hiza!
 
kWA KIBAHA HATA WANGEKUWA 100,000, hawana ishu!
Watu wa Pwani hawaaminiki hata sekunde moja!
Hamuoni mikoa inayoleta mageuzi ni ipi jamani?

Kuna uweli mkuu - Kibaha / pwani ni ngoma za mdundiko kwa kwenda mbele - hawajajua wenye kuwaza tunataka kufanya nini, na ndo maana hata JK huwa akitaka kuongea na wazee hawezi kwenda Arusha au Kanda ya Ziwa, anabaki hapo mwambao kwa wazee wanaomind Kahawa Vs Kashata na longolongo kibao.
 
hiyo ndo agenda waliyo baki nayo ccm kuonyesha umma kwamba bado wanapendwa. hawana sela. unategemea sasa hivi kuna mpinzani wa kwenda ccm? wenye akili timamu tushajua mchezo ulochezwa hapo. ova
 
iringa imechukuliwa na upinzani ikiwa na wanachama wenye kadi robo ya walioichagua,mwanza hivyohivyo,mbeya na shinyanga.
hao unaowaita wanachama walikuwa wa ccm wote,maana yake nini?ccm inaanza kutafuta wanachama baada ya kukimbiwa.
siasa za tanzania si zile za chama kimoja ambapo kadi ya ccm ilikuwa kitambulisho cha kuzuia usikamatwe mzururaji.

sasa hivi watu wanajali kitambulisho cha kura,na vilevile watu wanabadilika ndani ya siku mbili kwa hiyo kama bado mpo kwenye falsafa ya kadi inakula kwenu.
kwa taarifa yako huu mgomo wa madaktari ndani ya wiki moja ccm imeshapoteza watu kama milioni ambao hawataki hata kuisikia.


endeleeni kuchapisha kadi za upinzani na kuzigawa kwa wanazi wenu na kujirudishia ili kujidanganya kuwa mmevaa nguo kumbe mko uchi.
 
Back
Top Bottom