salmar
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 799
- 362
Mods nakunasihini musiunganishe huu uzi wala kuiondosha tafadhalini.
Vuguvugu la mabadiliko ikichangiwa na fujo zinazoendelea zanzibar linaonesha ni jinsi gani watu wamechoka na utawala uliokuwepo huko na katika muungano uliokuepo pia. Me kwa uweliowangu wapewe nchi yao wajiytawalie wenyewe na sisi huku bara tuidai tanganyika yetu cuz sisi midomo mengi na bla bla zisizoisha bt kuitetea tanganyika yetu hatuwezi ni sawa na nyoka wa kibisa ni mkubwa lakini hang'ati tumebaki humu ndani ya jf kulumbana na kutukanana dini zetu tuu in battle ground sisi ni zero simaanisho jeshi letu hapana sisi wananchi hatuwezi kitu tumebaki bla bla tuu
Niko teari kukosolewa kama nimekosea
Vuguvugu la mabadiliko ikichangiwa na fujo zinazoendelea zanzibar linaonesha ni jinsi gani watu wamechoka na utawala uliokuwepo huko na katika muungano uliokuepo pia. Me kwa uweliowangu wapewe nchi yao wajiytawalie wenyewe na sisi huku bara tuidai tanganyika yetu cuz sisi midomo mengi na bla bla zisizoisha bt kuitetea tanganyika yetu hatuwezi ni sawa na nyoka wa kibisa ni mkubwa lakini hang'ati tumebaki humu ndani ya jf kulumbana na kutukanana dini zetu tuu in battle ground sisi ni zero simaanisho jeshi letu hapana sisi wananchi hatuwezi kitu tumebaki bla bla tuu
Niko teari kukosolewa kama nimekosea