Jamani habari za leo,
Mimi ni mkereketwa wa Live bands huwa nahudhuiria sana live bands ila naona wapiga Solo wengi ni chapombe balaa wanapiga huku wanayumba ukiwasogelea wananuka kimea hatari.
Kuna yeyote anayeweza kuniambia siri ya hili guitor?Ingawa inaonekana pia they are very geneous hawa watu
Mimi ni mkereketwa wa Live bands huwa nahudhuiria sana live bands ila naona wapiga Solo wengi ni chapombe balaa wanapiga huku wanayumba ukiwasogelea wananuka kimea hatari.
Kuna yeyote anayeweza kuniambia siri ya hili guitor?Ingawa inaonekana pia they are very geneous hawa watu