Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,006
- 142,611
Kati ya wabongo waishio Marekani na wale waishio UK na nchi zingine za Ulaya, wapi wenye akili zaidi? Mimi nasema wale waishio Marekani....wewe unasemaje?
....Ulifanya research au uzushi wako??????????????????Kati ya wabongo waishio Marekani na wale waishio UK na nchi zingine za Ulaya, wapi wenye akili zaidi? Mimi nasema wale waishio Marekani....wewe unasemaje?
....Ulifanya research au uzushi wako??????????????????
Nilifanya utafiti.....
Kati ya wabongo waishio Marekani na wale waishio UK na nchi zingine za Ulaya, wapi wenye akili zaidi? Mimi nasema wale waishio Marekani....wewe unasemaje?
...which method did you use.......kufanya utafiti wakoNilifanya utafiti.....
.....Why do you say so......
...which method did you use.......kufanya utafiti wako
QUOTE]Kati ya wabongo waishio Marekani na wale waishio UK na nchi zingine za Ulaya, wapi wenye akili zaidi? Mimi nasema wale waishio Marekani....wewe unasemaje?[/
Absolutely and utterly bollocks!!!
...Nadhani wewe hufai kujilinganisha na hao uliowataja.Hili bandiko lako linadhihirisha kuwa una akili sana????? Umepotea njia mkuu anza upya!!!We angalia kwenye hii forum....tuna mimi, Pundit, Mwanakijiji, Kuhani, Kyoma, Reverend Kishoka, Augustino Moshi, Kichuguu (Profesa huyu)...nyinyi wa Ulaya mna nani?
tunaye Mtanzania, GT, Mlalahoi, Kitila, Kulikoni, Masanja, Madela, na Njabu
We angalia kwenye hii forum....tuna mimi, Pundit, Mwanakijiji, Kuhani, Kyoma, Reverend Kishoka, Augustino Moshi, Kichuguu (Profesa huyu)...nyinyi wa Ulaya mna nani?
Yaani hivyo vigezo ndo vimekufanya utoe uamuzi wa kuwa nyinyi wa marekani mna akili!yaani hiyo njia yako tu imeonyesha kuwa wewe huna akili!sidhani mtu kuwa mwana JF ndo kunamfanya awe ni mwenye akili kuzidi wengine!labda kama kuna utafiti mwingine uloufanya mbali na huo!
Thanks
tunaye Mtanzania, GT, Mlalahoi, Kitila, Kulikoni, Masanja, Madela, na Njabu
Nimejaribu kuipandisha hoja hii kichwani, wapi bwana haipandi inaishia hapa shingoni tu.
Because it is above your head.......