CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,076
Kama hii, huku niliko tunaitoa Bujumbura lakini of recently mafundi wachomeleaji wa huku wameanza tengeneza sasa sioni kama inalipa kusafirisha kutoka huku wakati materials (iron bars, iron plates and glass) zote zatoka Dar.
View attachment 96679View attachment 96680
Kama hii, huku niliko tunaitoa Bujumbura lakini of recently mafundi wachomeleaji wa huku wameanza tengeneza sasa sioni kama inalipa kusafirisha kutoka huku wakati materials (iron bars, iron plates and glass) zote zatoka Dar.
View attachment 96679View attachment 96680
Milango mizuri na imara sana mkuu, na bei pia ni nzuri kama unayosema laki2.5. Tatizo moja mafundi wetu inawashinda finnishing: naona hapo hawajagrind na kupiga msasa kwa umakini, hawajatia fill, hawajaprime na undercoat haitoshi, pia ilihitajika smoothing ya kufa mtu kabla ya kusprey rangi!
View attachment 96845
View attachment 96846