Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,457
- 699
Wanajamvi naombeni kupata habari za msanii wa komedi aliyekuwa anaitwa Vengu, alikuwa mgonjwa, je yupo wapi? Au bado anaugua? Mbona wadau hatuna feedback?
siri sirini