Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 775
- 2,772
Ndivyo ilivyo ni Nzuri kiasi chake maana hukuweka free ni maisha yaliyopo sana marekani (loneless life) japo huleta mkazo (depression)nahisi hasara zake ni nyingi sana kuliko faida zake
Maana mtu akinitembelea naona kama ananinyima amani
Watu wanapendelea kutembelewa na wageni mimi sitaki
Naweza nikamtongoza msichana leo baada ya siku mbili nikajikuta namchukia tu baada ya hapo nafuta namba na mazoea nae nakuwa sitaki kabisa
NI MATESO
Tupigwe tuache masinia ya pilau hapo 😢Karibuni Zanzibar 🐼
Pia hii cartoon inaelezea hali uliyo nayo, maana huyu pichani alikuwa anachukia sikukuu ya christmas bira sababu tu.nahisi hasara zake ni nyingi sana kuliko faida zake
Maana mtu akinitembelea naona kama ananinyima amani
Watu wanapendelea kutembelewa na wageni mimi sitaki
Naweza nikamtongoza msichana leo baada ya siku mbili nikajikuta namchukia tu baada ya hapo nafuta namba na mazoea nae nakuwa sitaki kabisa
NI MATESO
Pole sananahisi hasara zake ni nyingi sana kuliko faida zake
Maana mtu akinitembelea naona kama ananinyima amani
Watu wanapendelea kutembelewa na wageni mimi sitaki
Naweza nikamtongoza msichana leo baada ya siku mbili nikajikuta namchukia tu baada ya hapo nafuta namba na mazoea nae nakuwa sitaki kabisa
NI MATESO
Hiyo ya mwisho kwa bidenMiami Iringa au USA?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miami Iringa au USA?
Tupia picha ya hapo, wasio pajua wapajueHilo ndio swali sasa
Land Mark Mbezi Beach resort karibu na white sand
Dah,unajua mfungo bado hauja isha 🤐🙄Dah jamaa nakuonea wivu sana najua utaona mapaja mazuri sana huko coco Beach
Kama kuna habari mbaya yoyote ,mungu akufanyie wepesiHeri nyinyi mshekeao
Hawaruhusu watu kula huko...😂😂😂Karibuni Zanzibar 🐼
nipo kitaani kama nina shughuliWewe Sasa ni Msela Wa ghetto na Wala si Kitaa and vice versa
ahsante nitafuata ushauri wako mkuuNdivyo ilivyo ni Nzuri kiasi chake maana hukuweka free ni maisha yaliyopo sana marekani (loneless life) japo huleta mkazo (depression)
Ili ukwepe kupatwa na mkazo (depression) inabidi uwe na ofisi au kama hata ukaapo ghetto kama una online business hauwezi patwa na depression maana utakuwa na kitu kitakacho kuweka busy kidogo uwapo ghettoni kwa sababu mkazo ni mbaya Sana kuliko sadness wewe sasa hivi Upo kwenye hatua ya huzuni sadness jitahidi kufanya kama niliyo kueleza hapo juu ili usipatwe na depression mkazo/msongo wa mawazo.
Pia Ni maisha ambayo ni ngumu adui zako kukujua kiundani zaidi.
ahsante mkuu hii hali inatesaPole sana
Kwani kila mtu ni wa àllah jamaa kufunga kwao hakunihusu hata kidogoDah,unajua mfungo bado hauja isha 🤐🙄
Hutakaa jangwni milele,siku yako ya kuingia nchi ya ahadi ipo na imekaribia.ahsante mkuu hii hali inatesa