Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Wewe ukiwemo au unajitoa? huyo afisa rasilimali watu anawezesha tu! mabadiliko yanaanza na wewe!
That's sheer insanity kuamini mwajiriwa anatakiwa kutekeleza wajibu wa mwajiri. Au huelewi maana ya "conducive working environment"? Na ni nani ameongelea habari ya afisa raslimali watu?