Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,349
- 8,081
!
!
Sio kila mzungu padri, umekaririshwa kila mtu ana pua fupi, eti?? mie yangu ni ndefu kama barabara kwa hiyo naona kama umenikomplement badala ya ulivyodhani. Kama mtoto wako yuko kayumba mtoe haraka sana ataharibikiwa. Waalimu wenyewe ndio hawa failures unategemea nini?kila siku wako kwenye kurisit unategemea mtoto atapata kitu hapo!..janga mazingira kwa future ya mwanao bana, acheni majungu
!
Sio kila mzungu padri, umekaririshwa kila mtu ana pua fupi, eti?? mie yangu ni ndefu kama barabara kwa hiyo naona kama umenikomplement badala ya ulivyodhani. Kama mtoto wako yuko kayumba mtoe haraka sana ataharibikiwa. Waalimu wenyewe ndio hawa failures unategemea nini?kila siku wako kwenye kurisit unategemea mtoto atapata kitu hapo!..janga mazingira kwa future ya mwanao bana, acheni majungu
Siyo kosa lako. Uwezo wako wa kufikiri unaishia pua yako inapoishia. Hatari ni kwamba, ukisoma ukweli huu utakasirika badala ya kutafakari na kuchukua hatua.