Pole mkuu kwa mafuriko. Huyo Msimbe ni nani ama ni yule jamaa alikuwa anjishughulisha na kataasisi fulani sijui ka Tanzania Proffesionals? Mzee kilosa watu walikuwa wanaweza kuonekana nadhani walienda wachache sasa hapa Dar nani atakuona!
Ooooh,Jamaa hayupo tena Tanzania,yupo nje ya Nchi ni muungwana sidhani kama alitaka popularity.
hata watanzania waliopo ughaibuni wanatakiwa watusaidie katika hili. Kwa hiyo Tanzania Professionals haipo tena ameondoka nayo?Jamaa hayupo tena Tanzania,yupo nje ya Nchi ni muungwana sidhani kama alitaka popularity.
nikiwa mhanga wa mafuriko, nashukuru member mmoja wa jf kanipa hifadhi na mzenji wangu. bw msimbe alikuwa juu sana kusaidia mafuriko ya kilosa! Kwanini hatuoni juhudi sisi wa jangwani? Ama kule kilosa ilikuwa cheap popularity na kujinufaisha?
Acha ukuda mchungaji/ au mchugaji? waswahli wanasema tenda wema uondoke usingoje shukurani..............Nikiwa mhanga wa mafuriko, nashukuru member Mmoja wa JF Kanipa Hifadhi na mzenji wangu. Bw Msimbe alikuwa juu sana kusaidia mafuriko ya Kilosa! Kwanini hatuoni juhudi sisi wa jangwani? AMA kule kilosa ilikuwa cheap popularity na kujinufaisha?
Na pia yuko kwenye Basketball kama sikosei! Tunajilimbikizia vyeo!Those days Mtsimbe alikua rais wa TPN. Kwa sasa rais wa TPN ni Bw. Phares Magesa kama sikosei. Pia nimesikia bw. Phares akihamasisha wana TPN kutoa michango. Im sure they have or are doing something. Mtsimbe kwa sasa yuko nje ya nchi kikazi.
Mchungaji mbona umeuliza juu ya huyo Msimbe na mafuliko ya Kilosa lakini haujauliza kwanini Invisible nae haonekani Jangwani wakati JF ilisaidia sana mafuliko ya Kilosa?
Those days Mtsimbe alikua rais wa TPN. Kwa sasa rais wa TPN ni Bw. Phares Magesa kama sikosei. Pia nimesikia bw. Phares akihamasisha wana TPN kutoa michango. Im sure they have or are doing something. Mtsimbe kwa sasa yuko nje ya nchi kikazi.