Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

Matako ya dunia nzima mpaka nimecheka..
Extrovert kaka toa neno usiishie kucheka kaka 😊
 
Hapana, wewe unachowwza ni vitu vikubwa vikubwa sanaaaaa.

Utapoteza muda.

Dili na kitu kidogo huku ukikiwekea 90% ya muda na energy yako

Baada ya miaka mitano 5 au six utaanza kuwapa vijana ushauri humu
Nakupata kamanda, kwa hiyo si naanza na mshangazi mmoja tu. Nikimuwekea asilimia 90% ya muda na energy. Baada ya miaka mitano ni kama ulivyosema.
 
Guga resta tu kisha nenda zako zanzibar miezi sita haitaisha utakuwa ushapata ila uwe unatembelea ufukweni wazungu kibao , wazungu hawana mambo mengi ukimsemesha hata siku tatu haziishi anabeba mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…