FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,403
- 2,749
Apostle nini kilitokea?!
Umetisha mkuu, sema niko kaskazini huku.IBUNGU
Imeisha hiyoTafuta connection na mtu wa tour guide,
🤣 🤣 🤣 MkuuAsee wakuu, Januari imeninyoosha kinyama. Wueeeh!!!
Fanyeni wepesi!!! Hivi ni maeneo gani ntaweza pata mshangazi wa kizungu!?? Nimfanyie kilimo cha umwagiliaji haraka upesi.
Au niingie mtandao gani nijiachie humo.
Haaahaa noma sana sanaa 😊View attachment 3535150
Kuna wakati huwa nawaza snaa jinsi maisha yangu yalivyo magumu ila huwa najipa moyo pale napoona kuna watu yamewakanda hadi wanatangaza mitalimbo yao. 😬
Dr am 4 real PhD
Poor Brain
Baba mtakatifu, fimbo ya Musa muhimu kwenye maji ya chumviView attachment 3535150
Kuna wakati huwa nawaza snaa jinsi maisha yangu yalivyo magumu ila huwa najipa moyo pale napoona kuna watu yamewakanda hadi wanatangaza mitalimbo yao. 😬
Dr am 4 real PhD
Poor Brain
Hapo ibungu mabibo relini mbona sijawai kuona hao WAZUNGU.IBUNGU
Weee acha tu🤣 🤣 🤣 Mkuu
Utakiponza kijambio , wewe penda mtelezo tu.Asee wakuu, Januari imeninyoosha kinyama. Wueeeh!!!
Fanyeni wepesi!!! Hivi ni maeneo gani ntaweza pata mshangazi wa kizungu!?? Nimfanyie kilimo cha umwagiliaji haraka upesi.
Au niingie mtandao gani nijiachie humo.
Swali nyeti
Watu wanashindwa kuuelewa ugumuw wa maisha ni asili ya maisha yenyeweHaaahaa noma sana sanaa 😊
Sio mambo yangu, ila hali ni tete mkuu.Utakiponza kijambio , wewe penda mtelezo tu.
Siamini kamanda. Au sjui niingie siasa.Watu wanashindwa kuuelewa ugumuw wa maisha ni asili ya maisha yenyewe
Labda atafute shangazi aliyejichubua halafu a-assume ni mzungu. Mwaka 2019 pale Ibungu kulikuwa na mhudumu kafungasha makalio ya dunia nzima ila ule mkorogo aliokuwa anatumia ulikuwa unakata stimu vibaya mno. Ibungu ikitajwa nakumbuka mbali sana... nilikuwa mteja wa ile bar kabla hata haijaboreshwa.
Mhudumu tena mkuu, wakati mi mwenyewe muhudumu. Nasikia kilimo cha umwagiliaji ndio kinalipa. Nikaona isiwe kesi.Labda atafute shangazi aliyejichubua halafu a-assume ni mzungu. Mwaka 2019 pale Ibungu kulikuwa na mhudumu kafungasha makalio ya dunia nzima ila ule mkorogo aliokuwa anatumia ulikuwa unakata stimu vibaya mno. Ibungu ikitajwa nakumbuka mbali sana... nilikuwa mteja wa ile bar kabla hata haijaboreshwa.