Wapi ntapata cement ya Dangote hapa Dar-es-Salaam

zegebovu1

JF-Expert Member
Nov 20, 2013
415
134
Wadau kama kichwa cha habari kilivyojieleza hapo, kikubwa nimevutiwa na bei ninayoisikia juu juu ya 8,000/= sasa najaribu kupata details za wapi ntaipa hiyo cement kwa hapa Dar-es-Salaam maaana ukiingia site unapata contact za Nigeria tu afu ukipiga full mizunguo, kama ile ya mtwara imeshaingia sokoni
 
Mkuu, kiwanda cha Dangote, kilizinduliwa kwa kuzijaribu tuu mashine!. Uzalishaji rasmi wa sementi bado haujaanza, hivyo hakuna cement ya Dangote popote Tanzania kwa sasa, unless kama imetoka Nigeria kwenyewe!.

Pasco
 
Kiwanda bado sanaaa zile zilikuwa siasa tu.
Ili kuhakikisha zinapatikana za kutosha, hivyo uzinduzi ulikuwa ni wa kuzitoshesha tuu just incase hazitotosha!, lakini thanks God, uzinduzi ule umesaidia, maana hatimaye zimetosha!.

Pasco
 
Zile zilikuwa propanaganda za Kikwete na CCM kuwahadaa wananchi kutafuta kura za Magufuli. mbona hamuulizi mradi wa DART uliozinduliwa kwa mbwembwe na mara sijui magari 250 yafika bandarini, mara kazindua mradi wa umeme pale kinyerezi huku mpaka leo mgao kama kawa. Mara naanzia mahakama ya mafisadi
 
Wadau kama kichwa cha habari kilivyojieleza hapo, kikubwa nimevutiwa na bei ninayoisikia juu juu ya 8,000/= sasa najaribu kupata details za wapi ntaipa hiyo cement kwa hapa Dar-es-Salaam maaana ukiingia site unapata contact za Nigeria tu afu ukipiga full mizunguo, kama ile ya mtwara imeshaingia sokoni
sh 8,000??? serikali haitaruhusu hii kitu ili kuvilinda viwanda vya tanga cement na wazo ambapo ina vijihisa vya mboga
 
Bei ya 8000 tsh haiwezekani hata kidogo.
Hiyo cement ikifika DSM itakuwa bei sawa na ya twiga.
 
Hapa ndo siasa huwa zinaponikera wanaleta siasa mpaka kwenye mambo ya msingi
 
Back
Top Bottom