Wapi nitapata vibuyu?

Wapi nitapata vibuyu?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
11,377
Reaction score
20,000
Wakuu sana nina shida na vibuyu. Nataka kuwekea vinywaji mbalimbali. Vinegar, Asali, divai nk. Nahitaji ambavyo havijafunguliwa. Vikipatikana vile vyenye kiuono itakuwa safi zaidi. Wapi vinapatikana kwa wingi? Kuna wakulima wa vibuyu?
1719301740862.jpeg

1719301784251.jpeg

1719301803929.jpeg

1719301822198.jpeg

1719301944778.jpeg

1719301979391.jpeg
 
Wakuu sana nina shida na vibuyu. Nataka kuwekea vinywaji mbalimbali. Vinegar, Asali, divai nk. Nahitaji ambavyo havijafunguliwa. Vikipatikana vile vyenye kiuono itakuwa safi zaidi. Wapi vinapatikana kwa wingi? Kuna wakulima wa vibuyu?
View attachment 3025505
View attachment 3025506
View attachment 3025507
View attachment 3025508
View attachment 3025509
View attachment 3025511
Kumekucha, kuelekea uchaguzi. Tangu lini asali niijuayo ikawekwa ndani ya kibuyu! Mshana Jr tusaidie kumtambua huyu mtu.
 
Yako mengi sana haya nyumbani, sema ni mkoani ningekupatia bure mkuu.
Yanaota sana nyuma ya jiko letu kipindi mvua zikianza na huwa hatuna kazi nayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom