Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 4,728
- 11,285
Wana Jf natafuta soko la viazi vitamu hasa mikoa ya Mwanza, Dsm pengine hata Arusha.
Hii nikutokana na uzalishaji kuwa mkubwa maeneo ya wilaya ya Chato-Geita. Ambapo gunia moja ni linagharimu kiasi cha sh.6000 hadi 8000
Hivyobasi kwa yoyote mwenye taarifa kamili ni wapi nitapata soko tufahamishane.
Naomba kuwasilisha!!!!
Hii nikutokana na uzalishaji kuwa mkubwa maeneo ya wilaya ya Chato-Geita. Ambapo gunia moja ni linagharimu kiasi cha sh.6000 hadi 8000
Hivyobasi kwa yoyote mwenye taarifa kamili ni wapi nitapata soko tufahamishane.
Naomba kuwasilisha!!!!