mwali wa giningi
Member
- Nov 14, 2013
- 67
- 42
Wakuu poleni na majukumu.
Mimi ni mjasiriamali mdogo niliyejikita katika mradi wa ushonaji. Kimsingi huwa nauza mashati ya shule, nashona kwa oda kwenye shule zinazohitaji na kipindi cha msimu huwa nawauzia mawakala wa Kariakoo.
Kwa sasa nimeanza kushona mashati ya kike ya color combo (mchanganyiko wa rangi) kinachonikwamisha ni soko. Cos nafanya mass production, nahitaji kuuza kuanzia dozen tano yaani PC's 60 na kuendelea.
Naomba msaada wa soko jamani either kwa anayehitaji ama anayefahamu mhitaji. Nakaribisha ushauri pia wa namba Bora ya kufanya marketing kwa bidhaa zangu hizi.
Mimi ni mjasiriamali mdogo niliyejikita katika mradi wa ushonaji. Kimsingi huwa nauza mashati ya shule, nashona kwa oda kwenye shule zinazohitaji na kipindi cha msimu huwa nawauzia mawakala wa Kariakoo.
Kwa sasa nimeanza kushona mashati ya kike ya color combo (mchanganyiko wa rangi) kinachonikwamisha ni soko. Cos nafanya mass production, nahitaji kuuza kuanzia dozen tano yaani PC's 60 na kuendelea.
Naomba msaada wa soko jamani either kwa anayehitaji ama anayefahamu mhitaji. Nakaribisha ushauri pia wa namba Bora ya kufanya marketing kwa bidhaa zangu hizi.