Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
Nunua mmoja mvalishe WIGI hata kina Dada wanayavaa sana
AhahahaahhNunua mmoja mvalishe WIGI hata kina Dada wanayavaa sana

Paka mweusi vipi! Anakufaa mkuu?@amu
Vipi ulifanikiwa kuniulizia?
MhhhhhPaka mweusi vipi! Anakufaa mkuu?
I was joking sirAhahahaahh
Sawa mkuu hayo mawigi yanapatilana wapi?![]()
![]()
![]()
Ni kweli ila kama kazaliwa hapa hapa bongo hamna shida kwa kuwa mwili una adopt mazingira.Kama utamuweka kwenye kiyoyozi sawa,
Maana hao wenye manyoa mengi nafikiri ni mbegu toka nchi za baridi
Sasa kwenye joto la huko naona utakuwa unamtesa tu
Hapo nimekuelewaNi kweli ila kama kazaliwa hapa hapa bongo hamna shida kwa kuwa mwili una adopt mazingira.
Tatizo lingekuja kama ingekuwa tumemleta moja kwa moja toka bara za baridi.
Chukua wa kawaida then umpandikize manyoya, mi nilifanya hivyo



mshenz umevunja mbavu zangulaki 7 mmoja wakizunguSalaam,
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza,naombeni msaada wa kupata wale paka wazuri wenye manyoya mengi.
Ningependa kujua wanapatikana wapi,kama wanauzwa je ni bei gani na ingependeza sana kama atakuwa mdogo nikaanze kumlea mwenyewe kwa maadili na nidhamu ninayotaka.
Natanguliza shukrani.
Salaam,
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza,naombeni msaada wa kupata wale paka wazuri wenye manyoya mengi.
Ningependa kujua wanapatikana wapi,kama wanauzwa je ni bei gani na ingependeza sana kama atakuwa mdogo nikaanze kumlea mwenyewe kwa maadili na nidhamu ninayotaka.
Natanguliza shukrani.
laki 7 mmoja wakizungu
[/QUO
Ahahahaahh
Sawa mkuu hayo mawigi yanapatilana wapi?![]()
![]()
![]()
Ndio maana ninataka mdogo ili niweze kumfuga kwa maadili mema,nidhamu ya hali ya juu na tabia nzuri ya kutukuka kabisa.
Wakizungu? Ndo nini hiyolaki 7 mmoja wakizungu