MAMA SAMWEL
Member
- Sep 18, 2012
- 55
- 24
Hakuna kitu ni usanii mtupu,wanasema watakuwa wana 'share' na wewe 'profit and loss','in real life context,this is hidden interest'
Hata me nimeona hiyo kitu sijui islamic banking ni usanii tu
Hakuna kitu ni usanii mtupu,wanasema watakuwa wana 'share' na wewe 'profit and loss','in real life context,this is hidden interest'
Precisely mkuu!!Hata me nimeona hiyo kitu sijui islamic banking ni usanii tu
ziko bank ambazo unaweza pata mkopo fasta kama Access, Equity na Advanc (sina uhakika nao saana) na Akiba (hawako fast saana), wanaangalia cash flow yako, balance sheet,<br />By waubani<br />
KAMA UNA SECURITY YA HATI YA KIWANJA NA KADI YA GARI ambavyo havina mashaka KWANINI USIENDE BANK?
<b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=110468" target="_blank">waubani</a></b> benki nenda rudi zitakuwa nyingi. Unaweza kupiga kwata hata mwezi moja.<br />
<br />
Lakini kama una benki unaifahamu wanaweza kunipa kwa haraka niko tayari.
Kwa uelewa wangu hakuna bank au Microfinance yeyote ambayo inakusumbua endapo umetimiza documents zote za muhimu na ndo kazi yao kukopesha...Kuna jamaa yangu yeye ana uwezo wa kukopesha mpaka millioni kumi(ila riba yake ni 30% kwa mwezi) na mnaandikishiana na kama gari sharti iwe na thamani ya zaidi ya iyo millioni kumi na gari pamoja na kadi anakaa nazo mkopeshaji mpaka utakapomaliza deni kama utaweza niambie nikutumie mawasiliano...
kama sijakosea ABC wanahudumia wafanyakazi wa serikalinibe careful but better uende kwenye bank institution usije ukalizwa.Kama issue ni kupata mkopo faster jaribu<br />
1.BANC ABC<br />
2.PIA EQUITY BANK<br />
3.AFRICAN MICROFINANCE hawa wako survey
Salaam sana.
Nahitaji mkopo wa haraka wa TZS 10 M nitakaorudisha katika kipindi cha miezi mitatu with or without interest.
Nina securities kama gari na hati ya kiwanja/nyumba. Niko DSM.
Je ni wapi naweza kupata mkopo wa TZS 10 M immediately?
Je vigezo na masharti ni yapi including re-payment terms?
Nitashukuru kwa information za tija nitakazopata.
Asante sana wadau.
Nimejaribu Equity; CRDB; FNB; Azania; Barclays; KCB; DCB kote wanalietea mapause! So nimewapotezea!
Kuna Mdau kanipatia TZS 5M bila masharti namrudishia January 2013. So bado natafuta TZS 5M.
Shida ni kuwa Hati haiko katika jina langu japo nyumba ni yangu. Niko katika Mchakato wa kuibadilisha almost 9)% done!
Umeona eeh! Chezeya wenye pesa weye?
Nyumba ina thamani ya around TZS 300 Milion.
Ni vile tu katika maisha kuna kupanda na kushuka. Nikijua terms zake kwa uwazi naweza kuchukua hata January au February nikamrudishia.
hahahaha,,mimi ni mdau mkubwa wa paleBig Lady unauzoefu na Micro Finance? Nenda pale Sinza Mapambano jengo la mwanamboka kuna EFL watakupa mara moja,Uwe na mdhani na salary slip na hizo securities zako.Ni PM kwa maelezo zaidi
KAMA UNA SECURITY YA HATI YA KIWANJA NA KADI YA GARI ambavyo havina mashaka KWANINI USIENDE BANK?
Asante sana wadau.
Nimejaribu Equity; CRDB; FNB; Azania; Barclays; KCB; DCB kote wanalietea mapause! So nimewapotezea!
Kuna Mdau kanipatia TZS 5M bila masharti namrudishia January 2013. So bado natafuta TZS 5M.
Shida ni kuwa Hati haiko katika jina langu japo nyumba ni yangu. Niko katika Mchakato wa kuibadilisha almost 9)% done!
KAMA UNA SECURITY YA HATI YA KIWANJA NA KADI YA GARI ambavyo havina mashaka KWANINI USIENDE BANK?