Kuhusu ratiba sahihi na muda sina hakika ila ukifika pale asubuhi ni vyema kama utakuwa na nia kubwa ya kutaka kujua, at least saa 1 au 2 sio mbaya. Utakuta mnada wa mashuka na bed covers za kutosha. Na bei last time nilikuta ni 4k,6k na 8k.. zinacheza kulingana na ubora wa shuka na size. Nikutoe hofu Tu ndugu pale mashuka ni bei rahisi na ni mazuri Sana na pia pengine hata yasifike hiyo 8k ila ni vyema ukabeba pesa yakutosha ili upate mziko mwingi na mzuri.
Kama nitapata info zaidi nitajazia maana sijapita pale kitambo kidogo. Kumbuka pia location ni TANDIKA SOKONI.
Nimejaribu kuuliza zaidi nimejuzwa kuwa mnada unafanyika siku za wiki mida ya saa 3 asubuhi na mara chache saa 4. Kuhusu location na mengine nliyoeleza hapo juu yanabaki the same.🤝
Nimejaribu kuuliza zaidi nimejuzwa kuwa mnada unafanyika siku za wiki mida ya saa 3 asubuhi na mara chache saa 4. Kuhusu location na mengine nliyoeleza hapo juu yanabaki the same.🤝