Kaundime2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 1,085
- 461
Nasikia kuna jiko linasonga ugali lenyewe, hapo hapo linapika wali na linasehemu ya kupikia mboga, pia lina friji sijui oveni ya kutunzia chakula kiendelee kuwa cha moto. Vyote hivyo vinakuwa kwenye jiko moja tu. Halafu sijui inatumia umeme au gesi au mkaa sijui kuni mie sijui kwa kweli.
Nilisikia kwenye daladal watu wakiongea mi nikawa nakaribia kushuka. So sikuelewa vizuri.
Mwenye ufahamu tafadhali nisaidie maelezo kamili na wapi pa kulipata, bei n.k
Nilisikia kwenye daladal watu wakiongea mi nikawa nakaribia kushuka. So sikuelewa vizuri.
Mwenye ufahamu tafadhali nisaidie maelezo kamili na wapi pa kulipata, bei n.k