Wapi nitapata Elimu ya Kilimo cha Nyanya za Kisasa?

nakaribish yeyoye.nipo kwembe hkkfika luguruni wilayani ubungo nipigie 0788305012 njoo shambani namk ndiyo nimeanZa zipo na mwezi ilanashukuru miche 1000 na eneolipo kunwa njko ukkdity .now
 
nakaribish yeyoye.nipo kwembe hkkfika luguruni wilayani ubungo nipigie 0788305012 njoo shambani namk ndiyo nimeanZa zipo na mwezi ilanashukuru miche 1000 na eneolipo kunwa njko ukkdity .now
🙏🙏🙏
 
Waloma Kilimo na Ufugaji.
Hawa jamaa huwa wanatoa Elim na ushauri kwa Elf 25 nadhani.

Wapo Ubungo njia panda ya chuo na Makongo ndipo Shamba darasa lilipo.
Mkurugenzi wao Anaitwa George Sanga.

Niinbox nkutumie mawasiliano yao au
Unaweza watafuta Insta pia kujiridhisha.
 
Back
Top Bottom