Wapi nitapa private Internet Provider?

Wapi nitapa private Internet Provider?

vsat inafanya vp kazi mdau..
Vsat ni satellite dish ambalo hutumika kunasa mawimbi ya mtandao (internet) katika sehem ambazo ni mtandao wa sim haufiki, ambayo unaliset dish in a certain angle provided by ISPs, vsat pia ina Receiver ambayo inaconvert signals form vsat dish to internet
 
Vsat ni satellite dish ambalo hutumika kunasa mawimbi ya mtandao (internet) katika sehem ambazo ni mtandao wa sim haufiki, ambayo unaliset dish in a certain angle provided by ISPs, vsat pia ina Receiver ambayo inaconvert signals form vsat dish to internet
Je speed ya internet ipoje ukilinganisha na hizi za kawaida. Na je bei zake pia zipoje?
 
Halotel wamenisikitisha saana hili eneo lina watu wengi sana ni Mvumi wilaya ya kilosa na wamepita hapo ila hakuna Internet ukiwauliza wanakomaa ipo.
Unachuki zako tu unaacha kusikitishwa na kina tg vd au airtel wakongwe unanza kulalama kwa mtandano ilionza jana wape muda ila kwa sasa halotel ndo habar ya afrka
 
Huo mfumo wa kupata internet kwa kutumia dish kuna mawakala ambao itabidi uwasiliane nao wapo wengi tu, mfano hizi satelite zinazotumiwa ili kupata azamtv,dstv,ting na wengine pia ndio hizo hizo hutumiwa kurusha mawimbi ya data ambayo yapo katika mfumo wa ka band wakati haya ya tv yapo either katika mfumo wa Ku band au c band, sasa pia kwenye urushaji wa data kuna kampuni tofauti tofauti kama unavyoona kwenye TV kwamba huyu anatumia Huduma ya azam na huyu dstv, pia uwekwaji wa dish itategemea yule anaekupa Huduma kapanga satellite gani
 
Unachuki zako tu unaacha kusikitishwa na kina tg vd au airtel wakongwe unanza kulalama kwa mtandano ilionza jana wape muda ila kwa sasa halotel ndo habar ya afrka
Chuki ki vp, na zungumzia halotel zaidi kwa sababu ndio waliingia mkataba na serekali wa kusambaza Internet vijijini na ofisin za serekali.
 
Unaweza kutufafanulia hii ndio inakuwaje na inatumikaje .....???
Service provider anakuunganisha kwenye Internet kupitia satellite kwa kutumia satellite equipment ambayo ni receiver + satellite antenna

Hii inatumika sana katika maeneo ambayo watoa huduma wa mobile na DSL hawawezi kufika

NB: if you're looking for it mimi ni installer wa satellite Internet
 
Habari wakuu, nahitaji kujua hivi hapa Tanzania kuna kampuni inaweza niuzia kifaa kitakacho weza nipatia Internet yangu mwenyewe mfano niko kijijini sehemu ambayo bado hakuna huduma ya Internet lakini nataka kufunga kifaa kama hicho niweze tumia mwenyewe
Hapo ulipo kuna umbali gani toka sehemu ambayo mobile internet inapatikana?

Kama umbali haufiki 50km, unaweza setup 1watts WiFi links ila bridge connection toka ilipo kuja hapo ulipo
 
Hapo ulipo kuna umbali gani toka sehemu ambayo mobile internet inapatikana?

Kama umbali haufiki 50km, unaweza setup 1watts WiFi links ila bridge connection toka ilipo kuja hapo ulipo
Asee inakuwaje hiyo na bei ni sh ngap? Umbali ni km km 35 tuu na internet ilipo.
 
Back
Top Bottom