Wapi nitajifunza Kiarabu kwa hapa Dar es Salaam?

Wapi nitajifunza Kiarabu kwa hapa Dar es Salaam?

cr9

Senior Member
Joined
Oct 13, 2010
Posts
185
Reaction score
103
Nawasalimu wadau,

Mimi ni mkazi wa Dar na ninataka kujifunza lugha ya kiarabu. naomba munisaidie ni wapi kwa hapa Dar ninaweza kupata wataalamu wazuri wenye kujua kufundisha lugha hii.
 
Nawasalimu wadau,

Mimi ni mkazi wa Dar na ninataka kujifunza lugha ya kiarabu. naomba munisaidie ni wapi kwa hapa Dar ninaweza kupata wataalamu wazuri wenye kujua kufundisha lugha hii.

mskt wa mtambaan au temeke easy way
 
njoo nikufundishe ila kiarab tunafundishaga kwa viboko
 
Piga namba hii mkuu:0755448117.
Wapo kwa Aziz Ally mtoni.
Coz ni mwaka mmoja utaongea kiarabu kama rais wa Iran.
 
ubalozi wa libya pia wanafundisha arabic course
 
Pia zipo applications kibao..waweza download kwenye simu na kujifunza mwenyewe hatua ya awali mpaka advanced....mojawapo jaribu "duolingo" kwa simu ya android
 
madrasa zote hiziiii?nenda k/koo kule masjid idrisa kuna madrasa kibao.
 
Ndugu cr9 , Kujuwa kiswahili ni nusu ya kuelewa lugha ya kiarabu LUGHA mama!!
kwa urahisi naweza kukusaidia kuandika na kusoma.....
 
[url="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=283484" said:
wonderful[/url];14498645]piga namba hii mkuu:0755448117.
Wapo kwa aziz ally mtoni.
Coz ni mwaka mmoja utaongea kiarabu kama rais wa iran.
i see....
 
Back
Top Bottom