Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 261
- 295
Habari wakuu.
Poleni na majukumu, wakuu naomba wenye uzoefu na biashara ya mchele au wanao fahamu mchele bora grade one unapopatikana na makadrio ya haraka haraka ya bei kwa kilo.
Maana nataka nianze biashara ya kutoa mchele mkoani na kuuza Dar kwa bei ya jumla na namna nzuri ya kuupata mchele mzuri na sio chenga chenga.
Poleni na majukumu, wakuu naomba wenye uzoefu na biashara ya mchele au wanao fahamu mchele bora grade one unapopatikana na makadrio ya haraka haraka ya bei kwa kilo.
Maana nataka nianze biashara ya kutoa mchele mkoani na kuuza Dar kwa bei ya jumla na namna nzuri ya kuupata mchele mzuri na sio chenga chenga.