Genchi
Member
- Aug 19, 2014
- 94
- 45
Wadau habar? Nimepata wazo la kufanya bishara ya mchele/mpunga.
Kama kuna mdau humu anaifanya naomba ushauri ;
Je ipi bora zaid
Kununua mpunga kuweka store kisha unauza badae?
Kununua mchele mkoani na kusafirisha dar kuuza?
Au ipi njia nyingine bora ya kufanya hii biashara?
Ahsanten kwa wote mtakaonishaur
Kama kuna mdau humu anaifanya naomba ushauri ;
Je ipi bora zaid
Kununua mpunga kuweka store kisha unauza badae?
Kununua mchele mkoani na kusafirisha dar kuuza?
Au ipi njia nyingine bora ya kufanya hii biashara?
Ahsanten kwa wote mtakaonishaur