Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,023
- 2,231
Habari za mchana wakuu?
Moja kwa moja kwenye mada, hizi ni taarifa fupi nilizopata mpaka sasa kuhusu biashara ya mchele toka Kyela eneo la Kasumulu ndipo utaponunuliwa.
Mosi, plastick la debe moja ambalo linatoa kg 20 wanauza Tsh. 52,000/-
Pili, usafirishaji wa package ya kilo 100 toka Kasumulu mpaka Dar es salaam kwa lori ni Tsh. 15,000/-
Tatu, Ushuru ni Tsh. 1,500/- kwa kilo 100.
Nne, weka kupakia package ya kg 100 kwa Kasumulu iwe Tsh. 500 na kushusha Dar iwe Tsh. 1,000/-
Tano, gharama ya hapo mzigo utaposhushiwa mpaka kufika site utapouziwa iwe Tsh. 3,000/-
Jumla ya gharama zote ni Tsh. 281,000/- kwa mchele wa kilo 100. Sasa kwa bei niliyoambiwa jijini Dar kg 1 ni Tsh. 3,500/- kwa mchele super. Kwaiyo ukiuza kg 100 utapata Tsh. 350,000/- ukitoa utapata faida ya Tsh. 69,000/-.
Sasa nimekuja hapa wakuu niwaulize je kuna information gani sijaipata hapo na ni muhimu kuipata kabla sijajitosa?
Asanteni.
Moja kwa moja kwenye mada, hizi ni taarifa fupi nilizopata mpaka sasa kuhusu biashara ya mchele toka Kyela eneo la Kasumulu ndipo utaponunuliwa.
Mosi, plastick la debe moja ambalo linatoa kg 20 wanauza Tsh. 52,000/-
Pili, usafirishaji wa package ya kilo 100 toka Kasumulu mpaka Dar es salaam kwa lori ni Tsh. 15,000/-
Tatu, Ushuru ni Tsh. 1,500/- kwa kilo 100.
Nne, weka kupakia package ya kg 100 kwa Kasumulu iwe Tsh. 500 na kushusha Dar iwe Tsh. 1,000/-
Tano, gharama ya hapo mzigo utaposhushiwa mpaka kufika site utapouziwa iwe Tsh. 3,000/-
Jumla ya gharama zote ni Tsh. 281,000/- kwa mchele wa kilo 100. Sasa kwa bei niliyoambiwa jijini Dar kg 1 ni Tsh. 3,500/- kwa mchele super. Kwaiyo ukiuza kg 100 utapata Tsh. 350,000/- ukitoa utapata faida ya Tsh. 69,000/-.
Sasa nimekuja hapa wakuu niwaulize je kuna information gani sijaipata hapo na ni muhimu kuipata kabla sijajitosa?
Asanteni.