Mmea.hapo kuna kitu mbili ipi kati ya hizo
Unahitaji mbuzi beberu?Nina shida haswa! Nipo Morogoro View attachment 731136
Atakuwa yupo kihonda.Morogoro sehemu gani??
Ye yupo Moro, we upo Mzinga ya wapi?Kuja hapa mzinga ipo hiyo kitu, mkuu.
Mzinga ya moro mkuu, kule kikosi cha jeshi jirani kuna hii kituu.Ye yupo Moro, we upo Mzinga ya wapi?
Mtafute yule kada wa ccm aliyenunuliwa toka ACTNina shida haswa! Nipo Morogoro View attachment 731136