wapi naweza nikajifunza kireno hapa dar.?

msafwa93

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
4,761
5,877
jamani nimepata nafasi ya kwenda
kusoma msumbiji sasa kabla sijaenda
ningependa kujifunza kireno ambacho
ndo lugha yao,JE NI WAPI NAWEZA
NIKAJIFUNZA KIRENO KWA HAPA DAR..
 
tafuta virabu vya pombe za kienyeji wanazo kunywa wamakonde hutahitaji malipo ya ziada ni kununua wanzuki tu wanakufundisha
 
Back
Top Bottom