Wapi naweza kupata shamba kubwa ekari 500-1000?

MZAWA JF

JF-Expert Member
Apr 4, 2014
4,120
3,346
Wadau, kuna mtu anatafuta shamba lenye ukubwa kuanzia eka 500 hadi 1000 mikoa ya Morogoro, Dodoma na Singida kwa ajili ya kilimo kikubwa cha nafaka hasa mahindi. Liwe maeneo yasiyokuwa na migogoro, kusiwe na ukame sana, kunakofikika halafu maeneo yanayoweza kuchimbwa kisima kwa ajili ya umwagiliaji na kuwe tambarare. Je eka inaweza kuwa shilingi ngapi?
 
wadau kuna mtu anatafuta shamba lenye ukubwa kuanzia eka 500 hadi 1000 mikoa ya moro, dodoma na singida kwa ajili ya kilimo kikubwa cha nafaka hasa mahindi. liwe maeneo yasiyokuwa na migogoro, kusiwe na ukame sana, kunakofikika alafu maeneo yanayoweza kuchimbwa kisima kwa ajili ya umwagiliaji na kuwe tambarare. je eka inaweza kuwa sh ngapi?

Mkuu kama upo serious nitafute kwenye hii adress ntmgenesis@yahoo.com upate shamba zuri.
 
Back
Top Bottom