Wadau, kuna mtu anatafuta shamba lenye ukubwa kuanzia eka 500 hadi 1000 mikoa ya Morogoro, Dodoma na Singida kwa ajili ya kilimo kikubwa cha nafaka hasa mahindi. Liwe maeneo yasiyokuwa na migogoro, kusiwe na ukame sana, kunakofikika halafu maeneo yanayoweza kuchimbwa kisima kwa ajili ya umwagiliaji na kuwe tambarare. Je eka inaweza kuwa shilingi ngapi?