Frank Nzota
Member
- Jul 23, 2021
- 12
- 5
Shamba lenye ukubwa wa ekari 500 (mia tano) linauzwa @ekari ni laki moja na ishirini 120000.shamba ni zuri naharina longolongo na linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ardhi yenye lutuba mno,shamba lipo mkoani njombe tarafa ya Lupembe na miundombinu yote ikosafi kwa mawasiliano zaidi piga 0763165384.