Plot4Sale Shamba ekari 500 linauzwa

Frank Nzota

Member
Jul 23, 2021
12
5
Shamba lenye ukubwa wa ekari 500 (mia tano) linauzwa @ekari ni laki moja na ishirini 120000.shamba ni zuri naharina longolongo na linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ardhi yenye lutuba mno,shamba lipo mkoani njombe tarafa ya Lupembe na miundombinu yote ikosafi kwa mawasiliano zaidi piga 0763165384.

JamiiForums2031510619.jpg
IMG_20230221_143914_381.jpg
IMG_20230221_143142_374.jpg
IMG_20230221_142758_109.jpg
IMG_20230221_142620_473.jpg
IMG_20230221_142604_635.jpg
IMG_20230221_142617_835.jpg
IMG_20230221_142749_065.jpg
 
... ekari 500; ni karibu sawa na nchi ya Rwanda! Haya vijana mliokalia kucheza pool mijini, njooni vijijini tulime. Mkitaka mali mtaipata shambani.

Utakuta likijana na nguvu zake limetegesha bodaboda njia panda kuvizia wake za watu liwapeleke gengeni; fv#q!
 
... ekari 500; ni karibu sawa na nchi ya Rwanda! Haya vijana mliokalia kucheza pool mijini, njooni vijijini tulime. Mkitaka mali mtaipata shambani.

Utakuta likijana na nguvu zake limetegesha bodaboda njia panda kuvizia wake za watu liwapeleke gengeni; fv#q!
Umesema hivyo ili tujue umewahi kufika Rwanda?
 
... ekari 500; ni karibu sawa na nchi ya Rwanda! Haya vijana mliokalia kucheza pool mijini, njooni vijijini tulime. Mkitaka mali mtaipata shambani.

Utakuta likijana na nguvu zake limetegesha bodaboda njia panda kuvizia wake za watu liwapeleke gengeni; fv#q!
😅😅😅😅
 
Shamba lenye ukubwa wa ekari 500 (mia tano) linauzwa @ekari ni laki moja na ishirini 120000.shamba ni zuri naharina longolongo na linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ardhi yenye lutuba mno,shamba lipo mkoani njombe tarafa ya Lupembe na miundombinu yote ikosafi kwa mawasiliano zaidi piga 0763165384.

View attachment 2527059View attachment 2527060View attachment 2527061View attachment 2527062View attachment 2527063View attachment 2527064View attachment 2527065View attachment 2527066
Hayo maeneo ni mazuri sana kwa kilimo haswa cha miti na chai parachichi na hata mahindi nadhani.
Mleta mada Lupembe na ihanga kuna umbali kiasi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom