Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Pes 2020 halina crack ila 2019 kushuka yanayoHivi mkuu,hili hadi leo hawaja crack?
Pes 2020 halina crack ila 2019 kushuka yanayoHivi mkuu,hili hadi leo hawaja crack?
Na fifa 16?Pes 2020 halina crack ila 2019 kushuka yanayo
Muda pia ushaenda hapa hadi pes na fifa 2021 naona ndio zibaweza pata crack mapema.Pes 2020 halina crack ila 2019 kushuka yanayo
fifa zote pia zina crack kasoro 2020Na fifa 16?
Chief hili la 16,unaweza kujua njia mkuufifa zote pia zina crack kasoro 2020
fifa 16 ulikuwa unacheza kwa njia ya kubypass demo, sema kwa sasa njia zitakuwa ndefu sana inawezekana ila not worth it, utatakiwa kila kitu kukitafuta manual, kuaznia demo file na vikoro koro vyengine, google turk dm kupata njia ya kubypassChief hili la 16,unaweza kujua njia mkuu
Poapoa chief.fifa 16 ulikuwa unacheza kwa njia ya kubypass demo, sema kwa sasa njia zitakuwa ndefu sana inawezekana ila not worth it, utatakiwa kila kitu kukitafuta manual, kuaznia demo file na vikoro koro vyengine, google turk dm kupata njia ya kubypass
washacrack kitambo sana tunasubir 2020Hivi mkuu,hili hadi leo hawaja crack?
Hivi pc ya atleast kurun mpk fifa 19 hivi inaweza kupatikana kwa bei kwa tz mkuu?washacrack kitambo sana tunasubir 2020
Hivi pc ya atleast kurun mpk fifa 19 hivi inaweza kupatikana kwa bei kwa tz mkuu?fifa 16 ulikuwa unacheza kwa njia ya kubypass demo, sema kwa sasa njia zitakuwa ndefu sana inawezekana ila not worth it, utatakiwa kila kitu kukitafuta manual, kuaznia demo file na vikoro koro vyengine, google turk dm kupata njia ya kubypass
Gen ya 4 inacheza kwa tabu ila ya 6/7 pia unacheza. Inategemea na mwenyewe unatafutaje. Laki 6 unaipata kirahisi ila mpaka laki 4 unapata kama unatafuta hapa ni kwa laptop.Hivi pc ya atleast kurun mpk fifa 19 hivi inaweza kupatikana kwa bei kwa tz mkuu?
Okay mkuu..Gen ya 4 inacheza kwa tabu ila ya 6/7 pia unacheza. Inategemea na mwenyewe unatafutaje. Laki 6 unaipata kirahisi ila mpaka laki 4 unapata kama unatafuta hapa ni kwa laptop.
Kwa desktop gen ya 6 mpaka laki 3 unaipata ambayo unacheza bila dedicated gpu, na baadae ukiweka gpu unacheza kwa quality kubwa zaidi.
mimi huwa naangalia kupatana, zoomtanzania, deals in dar etc kuwa tu na uvumilivu angalia kila siku, ndani ya wiki unapata machine nzuri.Okay mkuu..
Kwenye kutafuta ,lets say 600k ipo,
Unaweza share idea sehemu nikapata mkuu,
Laptop
zipo nyingi, kama ni laptop aroud 700K but desktop unaweza ku build kwa amost 600kHivi pc ya atleast kurun mpk fifa 19 hivi inaweza kupatikana kwa bei kwa tz mkuu?
Shukrani sanamimi huwa naangalia kupatana, zoomtanzania, deals in dar etc kuwa tu na uvumilivu angalia kila siku, ndani ya wiki unapata machine nzuri.
kwa laki 6 gen ya 6/7 used madukani unaipata kirahisi husubirii sana ni common ukienda uhuru na swahili hadi uhuru na congo maduka mengi zipo na mtaa wa likoma na aggrey
Soma maelekezo ya game lako, kuna Readme inayokuelekeza cha kufanya. Most of time kunakuwa na cracked folder la kupaste kwenye main folder la game.Samahani wakuu nimejaribu kudownload na kuinstall pes17 kupitia ocean of games lakini nilipofika kwenye kipengere cha license key nimeshindwa aisee.wameniambia nichague offer ndipo nipewe lakini offer yenywe haipo ivi nifanye nini?
Ahaaa shukrani sana mkuu kwaiyo izo keys sio necessary sanaSoma maelekezo ya game lako, kuna Readme inayokuelekeza cha kufanya. Most of time kunakuwa na cracked folder la kupaste kwenye main folder la game.
inategemea na maelekezo uliyopewa, unaweza hata usitumie keyAhaaa shukrani sana mkuu kwaiyo izo keys sio necessary sana