Wapi Naweza Kupata Jack Daniel Halisi?

Wapi Naweza Kupata Jack Daniel Halisi?

Yaani bongo kwa vitu feki tupo vizuri..juzi nimenunua maji feki ya hill,just imagine
Ndo maana huwa napata kigugumizi kununua baadhi ya vitu mitaani kwa mangi, ujanja ujanja mwingi...
 
Wadau naambiwa huku mtaani baadhi ya Watanzania wamekuwa wabunifu sana. Wameanza kutengeneza kinywaji hicho chenye Heshima na hadhi kubwa kwa njia za kienyeji.

Kwa Wazoefu hebu tupeni taarifa sahihi kuhusu uvumi huu. Ni Wapi tutapata kinywaji halisi na pia Ni jinsi gani ya kutambua halisi.
Lumumba ccm kwenye ofisi ya polepole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hey dude there is so much affordable local brew at your disposal scattered why kushadadadia vitu vilivyo nje ya uwezo wenu when our nation is passing hard economic times?

Huo muda wa kuuliza nakutafta Jack Daniels mnautoa wapi?

Fanyeni kazi!
Kwa kuwa nchi inapitia kipindi kigumu Cha uchumi basi raia ndo wanywe gogo na matapu tapu?
Unafahamu swala la ku enjoy ni personal, na sio mobb oriented?

Hata nimeshindwa define, we ni mtu wa aina gan! Una roho mbaya?, dharau? Shule haikukusaidia? Au ni combinations ya hayo yote matatu kwa pamoja, which is deadly horrible.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa yangu sisi sio kama wewe mpenda mteremko, umeenda ulaya kufuata mteremko na kufaidi matunda ya mababu wa wenzio kudadeki, njoo huku tuwajengee wajukuu taifa na sio kutegemea mteremko..

Unakaa ulaya unaungaunga tu umri unaenda, wenzio tunalima maharage huku na kuuza huko huko ulaya tunaajili mpaka hao wazungu unaowapigia deki huko..
😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom