dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Kuna siku nimeenda pale mohan o'bey wakasema hawauizi hiyo product. Yule mhindi nkamuuliza kwa nini alikuwa mkali tu hatoi jibu la maana
Hey dude there is so much affordable local brew at your disposal scattered why kushadadadia vitu vilivyo nje ya uwezo wenu when our nation is passing hard economic times?Punguza dharau mkuu,third world third world so fuckin wot.
Dogo jikite kwenye mada iliyopo jamvini acha porojo.
Sauh'waa?!
Soma reply yako ya kwanza.Dogo jikite kwenye mada iliyopo jamvini acha porojo.
Sauh'waa?!
Bk7 anaulizia jack danielHey dude there is so much affordable local brew at your disposal scattered why kushadadadia vitu vilivyo nje ya uwezo wenu when our nation is passing hard economic times.
Huo muda wa kuuliza nakutafta Jack Daniels mnautoa wapi?
Fanyeni kazi!
Piga boksi mkuu hapo oslo,acha dharauHadhi yenu nyinyi mathird world dwellers ni gongo tu, acheni kushadadadia vitu vilivyo nje ya uwezo wenu
Take it easy broSoma reply yako ya kwanza.
In a population of 60m+ unafiki hakuna hata nusu milioni ya Watanzania wanoweza kuafodi boto ya chini ya laki.Living in Babylon has turned you into a completely TWAT.Hey dude there is so much affordable local brew at your disposal scattered why kushadadadia vitu vilivyo nje ya uwezo wenu when our nation is passing hard economic times.
Huo muda wa kuuliza nakutafta Jack Daniels mnautoa wapi?
Fanyeni kazi!
Kuna siku nimeenda pale mohan o'bey wakasema hawauizi hiyo product. Yule mhindi nkamuuliza kwa nini alikuwa mkali tu hatoi jibu la maana
Take it easy bro and calm down. Mgeni jamvini nini?In a population of 60m+ unafiki hakuna hata nusu milioni ya Watanzania wanoweza kuafodi boto ya chini ya laki.Living in Babylon has turned you into a completely TWAT.
Third world dweller bana kwa mbwembwe tu.
Mkuu punguza kuparamia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha.
Unajua JD original wewee? Cocktails unazifaham wewe?
Third world dwellers bana?
Fanyeni kazi!
Aliinywa kwenye tafrija ya wazungu akihudumu sasa na yeye amekuwa bosi.Third world dweller bana kwa mbwembwe tu.
Game usiwaamini, hawana pombe ya maana wale. Juzi nilinunua katoni ya Windhoeck ladha kama mkojo wa mbweha puuuebu jaribu kutembea hapa game ya mlima city...hutojutia kwakweli...!
ungerudisha....ungerudishiwa pesa yako...harafu labda mimi ndio sijui kwani pombe huwa na radha nzuri...?Game usiwaamini, hawana pombe ya maana wale. Juzi nilinunua katoni ya Windhoeck ladha kama mkojo wa mbweha puuu
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 Nyie raia bhana...kwani kuna tatizo hata kama alionjeshwa?..😂😂😂Aliinywa kwenye tafrija ya wazungu akihudumu sasa na yeye amekuwa bosi.
Jaribu Smirnoffungerudisha....ungerudishiwa pesa yako...harafu labda mimi ndio sijui kwani pombe huwa na radha nzuri...?