Abramovic
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 324
- 597
Wakuu Heshima kwenu,
Naomba msaada wa kuelekezwa ama kufahamishwa ni wapi naweza kupata Dakrari bingwa wa macho Mkoani Mwanza.
Nina mwanangu wa kiume umri wa miaka 5 anasumbuliwa na macho kuliko kawaida, tumejaribu hospital nyingi bila mafanikio hivyo tumeshauriwa kutafuta Daktari bingwa wa macho.
Natanguliza shukrani za dhati
Naomba msaada wa kuelekezwa ama kufahamishwa ni wapi naweza kupata Dakrari bingwa wa macho Mkoani Mwanza.
Nina mwanangu wa kiume umri wa miaka 5 anasumbuliwa na macho kuliko kawaida, tumejaribu hospital nyingi bila mafanikio hivyo tumeshauriwa kutafuta Daktari bingwa wa macho.
Natanguliza shukrani za dhati