Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
- Thread starter
- #81
Big up kaka umepitia maisha magumu mno bt nakushaur msaidie baba yako kwan utazid kupata baraka kwa Mungu.
Nashukuru mkuu! Mkuu natumia muda wng mwingi kujilazimisha kusahau yote yalionipata,, napata tabu sana kusahau! nilijaribu kumsimulia yf story nzima, kuna stage ilipofika akaniomba nisimsimulie tena, kasema inatosha!