prettydiva
Senior Member
- Feb 19, 2014
- 101
- 39
Una roho mbaya. Hivi kama ukimsaidia tu utapata hasara gani . Kumbuka mabao yake yenye afya ndio yamekufanya uwe binadamu as ulivyo . Katika maisha yako umewahi kuwasamehe wangapi. Na wewe umewahi kusamehewa mara ngapi. anyway haya muache mzee wako aadhirike hadi afe na wewe jisifu na mafanikio yako
Nahisi wewe akili zako hazipo sawa,na hujasoma stori yote ukaelewa pia hujawahi pitia tabu hata kidogo kwenye maisha ndo maana unakurupuka kumshambulia.Jichunguze nahis utagundua umeandika pumba na mashudu hapa.