yeah, you do that.
He is your father my friend, even though he wasn't much of a Dad.
But one thing is for sure, you are gonna miss him when he is gone so do what you can now.
Nashukuru sana, nafanya mchakato wa ruhusa ofisini ya wiki 1 niende nikamuone!
Mh! Mkuu hapo kwenye bold umenchanganya kidogo! Ni rahisi kuwa baba kuliko kuwa Mzazi!
Una busara sana!! Ila hiyo user name bandugu weeeee.Fanya hivyo ndugu....wewe mshukuru Mungu umepewa kujitambua mapema,yeye hakupewa huo upeo..pengine hata mama asingekufa mapema....we jifanye zuzu tu nenda fanya yako kisha urudi dsm..angekua mzima walaaa!!!
kua nae karibu wakat wa matatizo......wakati wa furaha yake yeye ndio awe wakwanza kukutafuta....
hutapungukiwa chochote.
its so sad,,,umeniliza Mkuu Slim5 nami ndo napitia maisha haya niko chuo hapa DIT 1st year nasomea mambo ya Telecommunications nina miaka 19 naishi na bibi na dada zangu wawili wa tumbo moja simfahamu baba na wala sijawahi kumuona na mama alikwishafariki ila mpaka sasa ndani ya moyo wangu nimeshamsamehe baba yangu wakat mwingine si vyema kulipiza visasi ni vema ujitahid kusamehe na kusahau,,,,,,,,,When you forgive,you open the channels for trust and unconditional love.Forgive even if there is no apology from the wrongdoer....Forgiveness ensures peace of mind.......Clean your heart.
Polee sanaa ndugu. Twapasa kusamehe ila tusisahau..
its so sad,,,umeniliza Mkuu Slim5 nami ndo napitia maisha haya niko chuo hapa DIT 1st year nasomea mambo ya Telecommunications nina miaka 19 naishi na bibi na dada zangu wawili wa tumbo moja simfahamu baba na wala sijawahi kumuona na mama alikwishafariki ila mpaka sasa ndani ya moyo wangu nimeshamsamehe baba yangu wakat mwingine si vyema kulipiza visasi ni vema ujitahid kusamehe na kusahau,,,,,,,,,When you forgive,you open the channels for trust and unconditional love.Forgive even if there is no apology from the wrongdoer....Forgiveness ensures peace of mind.......Clean your heart.
You are such an inspiration! So mature and strong!
Keep things that way and may God ease any hardships you may encounter in your life.
God Bless you
Mkuu nashukuru sana! hapo ktk blue ni kama unanifahamu vile, hicho ndio kilichonipata!
Wee kama mimi.....!
maana kabla sijamaliza kusoma kichwa kilishaanza kuuma!
R.I.P mama! na hongera kwa kupata replacement ya mama (mkeo)