ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,554
I miss u Bishanga where are you you it is being a long time Bishanga where are you.
yupo mwananyamala hospitali pale kwa wahaya kafichwa mjomba yule...
I miss u Bishanga where are you you it is being a long time Bishanga where are you.
darling jana nimeota tunanililiyu,asubuhi shuka chepechepe!nilijua tu baby obama hawezi kukuacha kwenye kampeni unavyomuuzia ndizi tamu hivyo
yatakushinda,ukisema hivo unadhani ndo The secretary ataniacha? Ili iweje?yupo mwananyamala hospitali pale kwa wahaya kafichwa mjomba yule...
darling jana nimeota tunanililiyu,asubuhi shuka chepechepe!
darling jana nimeota tunanililiyu,asubuhi shuka chepechepe!
wewe jamaa ni balaa kwa uongo,mara ya mwisho si nimekukuta kituo cha polisi Mbezi kwa Yusufu wamekupeleka watu wa FINCA unadaiwa mil.5 afu hapa unajifanya kutaja minnesota.unakopa vihela vya watu afu unafanyia matanuzi?
nilijua tu baby obama hawezi kukuacha kwenye kampeni unavyomuuzia ndizi tamu hivyo
Yaani unajazwa uongo mbele yetu unakubali The secretary? Wanawake bhana.. khaa.
mmmmmhhhh??inamaanisha ulikojoa kitandani
utakufa na kijiba cha roho wewe!Yaani unajazwa uongo mbele yetu unakubali The secretary? Wanawake bhana.. khaa.
kwi kwi kwi kwi! Tena nasikia eti kafall in love kwa ann makinda! Imbombo!!!
hakikisha anapata size, isimpwaye wala isimbane, na pichu ya kijani umletee ukitoka minesotta! Lol,tununu!
Ngoja nikampimishie mashati ya kijani.
I miss u Bishanga where are you you it is being a long time Bishanga where are you.
Unatutisha unajua The secretary,ina maana 6*6 ni kubwa kiasi kwamba hamuonani?Ndo maana mwana JF mmoja aliwahi kusema kuwa hivi vitanda 6*6 vinavunja ndoa, inatakiwa walau vitanda vya futi 2!! Bishanga alikuwa bize kuhakikisha ile 5% uzito kwenye malori na mabasi inaondolewa,si unajua ana malori 200 na mabasi 50!
Yuko kwangu leo anagonga ndovu