Wapi mmeanza kuisoma namba? Toa ushuhuda hapa

Wapi mmeanza kuisoma namba? Toa ushuhuda hapa

Mm nadhani tusiwalaumu sana wananchi maamuzi waliyafanya yakapokwa,hapa cha kulaumu ni ukimya wetu watanzania tunawekewa watu tusiowataka hata tukitumia democrasia.

Ukweli mtupu Mkuu huu ukimya utatuumiza
 
Wasimamiz wamitihani tushaisoma.namba hela hamna
 
Nipo hapa Igunga kikazi nitakaa kwa muda wa miezi 3 lakini Tangu uchaguzi uishe na Magufuli kuapishwa kila siku umeme unakatika zaidi ya masaa 12 na kwa jinsi ninavyowaona wananchi wa hapa wanaCCM wengi waliokuwa wakiishabikia CCM wanaisoma namba wenyewe kwani kwa wapinzani waliyatarajia haya kama CCM ingeshinda hivyo wanaCCM ndio wanaisoma namba kwa kuwa walichokitarajia sio wakipatacho kwa sasa.

ww nae hata serikal haijaundwa unamlalamikia maguful yy anweza kujigawa kama bacteria awepo kila
mahal,tusubir
 
Mwenge wameisoma namba leo
 
Katika baadhi ya maeneo tayari watu wameendelea kuonja joto ya jiwe kwa maisha magumu.
Mfano ni huko Katoro Geita ambako mauaji ya kinyama yametokea yakihusisha watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa CCM.

Huko ndo kuisoma namba
Polisi kupiga wanafunzi wanaoandamana kudai chakula shuleni na mazingira bora (siyo kuvuta bangi).

Huko ndo kuisoma namba
Maji hakuna Handeni imewalazimu wakazi kutumia maji yenye kinyesi cha binadamu na wengine kuonekana kuchimba chini pembezoni mwa bwawa kupata maji safi.

Huko ndo kuisoma namba
Ongeza ya huko eneo unakoishi

Business as usual ccm hawana jipya,tutaisoma namba
 
Morogoro line ya nanenane na maeneo mengine, umeme umekatika tarehe 16/11/2015 saa tano usiku umerudi tarehe 18/11/2015 saa 14:15 mchana ukakaa masaa kadhaa ukakatika tena. Namba tunaisoma.
 
Morogoro line ya nanenane na maeneo mengine, umeme umekatika tarehe 16/11/2015 saa tano usiku umerudi tarehe 18/11/2015 saa 14:15 mchana ukakaa masaa kadhaa ukakatika tena. Namba tunaisoma.

Na mimi nasema muisome maana hakuna namna
 
Tutaendelea kuishi kwa shida chini ya ccm kutkana na ukosefu wa elimu na uoga tulionao. Maana kwa nchi kama Kenya upumbavu kama huu usingetokea.
 
Katika baadhi ya maeneo tayari watu wameendelea kuonja joto ya jiwe kwa maisha magumu.
Mfano ni huko Katoro Geita ambako mauaji ya kinyama yametokea yakihusisha watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa CCM.

Huko ndo kuisoma namba
Polisi kupiga wanafunzi wanaoandamana kudai chakula shuleni na mazingira bora (siyo kuvuta bangi).

Huko ndo kuisoma namba
Maji hakuna Handeni imewalazimu wakazi kutumia maji yenye kinyesi cha binadamu na wengine kuonekana kuchimba chini pembezoni mwa bwawa kupata maji safi.

Huko ndo kuisoma namba
Ongeza ya huko eneo unakoishi

Uhaini at work.
 
Back
Top Bottom