MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
unawakumbuka ni wataam sanasio kono kono wale mxxieew
unawakumbuka ni wataam sanasio kono kono wale mxxieew
Kama kuna wahusika wakichina wenyewe basi natumai patakuwa pazuri,kiufupi huduma si 100% upate za kichina ila mimi nimepata huduma hapo great wall ni wazuri na wahudumu ni wenyewe na waswahili.
pengine unaweza pia kupita pale NBAA HOUSE Bibi titi road pia wako vizuri wahudumu ni wenyewe wachina wanaongea kiswahili pia
ukipita humo unikaribisheKama kuna wahusika wakichina wenyewe basi natumai patakuwa pazuri,
Shukrani sana mkuu, ntapita hizo sehemu nifanya ukaguzi wangu mwenyewe.
Hahhaha mkuu mwalla ebu niacheunawakumbuka ni wataam sana
Aliyekutoa alikuwa "Mchina"? hahahahahahahahaahah. tehe tehe tehe teheShoga yalinikuta mambo ya kutolewa lunch haya acha tu
Hahaha, sawa mkuu..ukipita humo unikaribishe
ukuje huku the great wall tukumbushie ile misosi ya guanzouHahhaha mkuu mwalla ebu niache
Aliyekutoa alikuwa "Mchina"? hahahahahahahahaahah. tehe tehe tehe tehe





bora angekuwa mchina si ndio kama wakina malcom lumumba wapenzi wa vyakula vya kichinaNimeangalia mkuu, lakini nikaamua kuja hapa ili nijihakikishie maana siku hizi watu wanachakachua.!Cheki google mkuu
Nitakujaukuje huku the great wall tukumbushie ile misosi ya guanzou
😀😛😀😛😀😀bora angekuwa mchina si ndio kama wakina malcom lumumba wapenzi wa vyakula vya kichina
Halafu hiki ndio chakula nilichokula![]()
kitamu sana ika nimekimiss
Hapana aiseee sitakii![]()
![]()
![]()
![]()
kitamu sana ika nimekimiss
Tuandae siku ukuje huku tukapate mambo
One lunch onlyHapana aiseee sitakii