Mwanza kwetu pia
Senior Member
- May 25, 2021
- 104
- 150
Habari zenu nyote,
Bila kupoteza muda niende kwenye mada, miezi michache iliyopita nilisikia serikali ikisema ya kuwa nchi ya Misri inataka kuwa inanunua MAHINDI ya njano takriban tani milioni moja kwa mwaka toka Tanzania.
Hivyo wizara ya kilimo ilijitokeza mbele ya wananchi na kuutangazia uma wa watu kuwa tuanze kulima MAHINDI ya njano kwani yamepata soko nchi Misri na ikibidi hata Kama leo yatapatikana ya kutosha waondoke nayo.
Akaendelea kusema kuwa iwapo tutakuwa tayari kulima kilimo hicho basi wao wizara wameshataarifiwa na nchi husika kuwa Kuna aina ya mahindi ya njano ambayo wanayapendelea na ambayo ndo watakuwa wanayanunua hivyo hatuna budi kuchukua mbegu toka kwao,
Swali no, 1; je, watu wamejitokeza kwa wingi kiasi gani kulima hicho kilimo kwa ajili ya kuiuzia Misri
Swali no 2; je hizo mbegu tayari wizara ya kilimo inazo kwa Sasa
Swali no 3: tutakuwa tunamuuzia Misri kwa bei gani ili mkulima kabla hajalima ajue kabisa bei
Swali no 4; hiyo mbegu ukilima heka moja unatoa mavuno kiasi gani au gunia ngapi?
Swali no 5; mazao gani mengine tunahitajika tumuuzie Misri na yuko tayari kununua toka kwetu na kwa bei gani wananunua
Wadau kwa anayeelewa atufungue ili tufahamu au Kama Kuna mtu wa wizarani humu atusaidie kujua kwa hicho nilichokiuliza ili tufahamu.
Uzi tayari;
Bila kupoteza muda niende kwenye mada, miezi michache iliyopita nilisikia serikali ikisema ya kuwa nchi ya Misri inataka kuwa inanunua MAHINDI ya njano takriban tani milioni moja kwa mwaka toka Tanzania.
Hivyo wizara ya kilimo ilijitokeza mbele ya wananchi na kuutangazia uma wa watu kuwa tuanze kulima MAHINDI ya njano kwani yamepata soko nchi Misri na ikibidi hata Kama leo yatapatikana ya kutosha waondoke nayo.
Akaendelea kusema kuwa iwapo tutakuwa tayari kulima kilimo hicho basi wao wizara wameshataarifiwa na nchi husika kuwa Kuna aina ya mahindi ya njano ambayo wanayapendelea na ambayo ndo watakuwa wanayanunua hivyo hatuna budi kuchukua mbegu toka kwao,
Swali no, 1; je, watu wamejitokeza kwa wingi kiasi gani kulima hicho kilimo kwa ajili ya kuiuzia Misri
Swali no 2; je hizo mbegu tayari wizara ya kilimo inazo kwa Sasa
Swali no 3: tutakuwa tunamuuzia Misri kwa bei gani ili mkulima kabla hajalima ajue kabisa bei
Swali no 4; hiyo mbegu ukilima heka moja unatoa mavuno kiasi gani au gunia ngapi?
Swali no 5; mazao gani mengine tunahitajika tumuuzie Misri na yuko tayari kununua toka kwetu na kwa bei gani wananunua
Wadau kwa anayeelewa atufungue ili tufahamu au Kama Kuna mtu wa wizarani humu atusaidie kujua kwa hicho nilichokiuliza ili tufahamu.
Uzi tayari;