ha sana.inanikumbusha paper ya jog f4,
hapo ilipopigiwa haupajui kweli?kwani we hii picha umepigia wapy??????????
hapo mkuu umekosea ni hapa hapa DARNaona kama ni udom. Nimepatia?
hajapigwa toka UDSM, tafakari zaidi.NI DSM hilo jengo refu ni BENJAMIN MKAPA WALIOKUWA WANAGOMBEA NSSF NA TPDC,ILA ILIYEKUWA ANAPIGA PICHA SIJUI ALIPIGIA WAPI,SEHEMU MOJA WAPO INAWEZEKANA ILIPIGWA TOKA UDSM.
wewe ndiyo umekosea kabisani dar jengo hilo lefu liko karibu na nyuma ya chuo UDSM,jengo linaitwa mawasiliano tower.
halijapigwa toka WAMAtown hapa lile jengo linajengwa karibia viwanja vya gymkhana mpigaji alipiga tokea WAMA ofisi za mwl Salma Kikwete -1st lady!
ngoja tusaidiane, hilo picha niliipiga toka uwanja wa taifa, nao watu unawaona hapo ndiyo wanaingia uwanjani. na hapo chini kidogo kwenye hiyo miti ni DUCE, ila sielewi hilo jengo lefu ni la wapi?, nazani mpaka hapo wataalam wa mji mtakuwa mmepajua. naombeni msaada.
igunga gani hiyo? ni hapa hapa DAR.Hapo ni Igunga iliyotawaliwa na muirani kwa miaka 15, kafanya makubwa kupeleka maendeleo huko na hilo jengo refu ni Ofisi ya CCM Igunga.
igunga gani hiyo? ni hapa hapa DAR.