Wapi fundi wa turbo anapatikana?

Jongwe

JF-Expert Member
Apr 25, 2008
1,040
662
Jamani mwenye kujua fundi wa kifaa cha gari turbo naomba anijuze.

Turbo ya gari yangu inapoteza oil sana.
 
Sijakuelewa vizuri hiyo turbo inapotezaje mafuta? na je ni turbo ya gari gani? maana usijekuta ni gasket tu ndio imekufa wewe ukaanza kupanic, maana nijuavyo mimi mafuta(Oil) inayokwenda kwenye turbo ni ile inayotumika kulainisha bearing tu,
 
Sijakuelewa vizuri hiyo turbo inapotezaje mafuta? na je ni turbo ya gari gani? maana usijekuta ni gasket tu ndio imekufa wewe ukaanza kupanic, maana nijuavyo mimi mafuta(Oil) inayokwenda kwenye turbo ni ile inayotumika kulainisha bearing tu,

Mkuu nilifanya service ya gari na kubadilisha engine oil. Baada ya wiki moja ikawa ukiendesha kama 2km ikawa inawaka taa nyekundu kwenye dashboard, nilipo mpelekea fundi akaniambia oil ipo kidogo sana, wakati ni wiki tu toka nibadilishe, baada ya kufanya uchunguzi akagundua oil inapotea kupitia turbo. Akanihahakikishia kwa kufungua pipe ya turbo na kukanyaga accelerator ukiweka mkono oil nyingi inatoka kama upepo. Akaniambia ni rings zimechoka ila hana fundi wa kifaa hicho. Ajabu gari lina nguvu kama kawaida. Bilashaka nimejieleza vya kutosha
 
Sijakuelewa vizuri hiyo turbo inapotezaje mafuta? na je ni turbo ya gari gani? maana usijekuta ni gasket tu ndio imekufa wewe ukaanza kupanic, maana nijuavyo mimi mafuta(Oil) inayokwenda kwenye turbo ni ile inayotumika kulainisha bearing tu,
Mdau tiririka
 
Yupo vizuri na ni mtu mzima mwaminifu na anajua gari zote za turbo. Me alinipigia subaru forester turbo ilikuwa na shida. Sasa huwa nateleleza tu arusha
 
Nilivyo kuelewa hizo rings zilizokatika haziko kwenye turbo na ninashangaa unavyoniambia gari lina nguvu, rings zinazosemwa ni za kwenye pistons kitu ambacho turbo haihusiki kabisa, anyway check na hao jamaa ila angalia wasikupige na uwe na bajeti kidogo maana wanaweza kukuambia wafunguwe cylinder head na oil sump, kwa hiyo andaa gaskets na seals
 
Nilivyo kuelewa hizo rings zilizokatika haziko kwenye turbo na ninashangaa unavyoniambia gari lina nguvu, rings zinazosemwa ni za kwenye pistons kitu ambacho turbo haihusiki kabisa, anyway check na hao jamaa ila angalia wasikupige na uwe na bajeti kidogo maana wanaweza kukuambia wafunguwe cylinder head na oil sump, kwa hiyo andaa gaskets na seals

Samahani si rings ni seal mkuu, seal za kwenye hiyo turbo
 
Still bado maelezo hayapo sawa, kama seals za inlet au outlet zimekufa haziwezi kumwagia ndani, turbine side au compressor side, oil inge leak out side turbo charger na sio ndani ya impeller au turbine, kama unaona oil/ fuel upande wa impeller basi tegemea matatizo kwenye exhaust valve either hazifungi
 
Still bado maelezo hayapo sawa, kama seals za inlet au outlet zimekufa haziwezi kumwagia ndani, turbine side au compressor side, oil inge leak out side turbo charger na sio ndani ya impeller au turbine, kama unaona oil/ fuel upande wa impeller basi tegemea matatizo kwenye exhaust valve either hazifungi

Asante kwa maelezo mazuri. Bahati mbaya sina utalaam wa kutengeneza gari, sina ufafanuzi zaidi ya nilivyoelekezwa na nilichoshuhudia kwa macho. Nitatafuta wataalam waliopendekezwa hapo juu wanijuze kama si kutatua tatizo hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom