Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poLE SANA MZEE! sijajua dini yako, ila kama wewe ni mkatoliki nakushauli kujiunga na kikundi kiitwacho, NEO KATEKUMINATO. humo kuna wasichana wengi sana wazuri na wanaojituma kimaisha. Nenda kanisa la Upanga, oyetserbay, mwenge, na tegeta.
kama sio mkatoliki basi tafuta rafiki kijamu jamu hivi katika chuo cha ualimu chang'ombe pale hukosi kung'o msichana mzuri. sehemu nyingine ambazo wanwake wa kujituma utawapata kilaini, ni NBAA evening classes. Katika madarasa ya masomo ya jioni ya NBAA kuna wasichana wazuri sana na wenye mwelekeo mkubwa wa kimaisha. wewe jiingize humo halafu wabane katika group study.
mwisho ndugu yangu , vizia katika misiba ya makabila yenu na ya watani wenu. humo namo utazoa kwa wingi tuu.
kila la kheri mzee mwezangu
Ssshhhhhhhhhh..... Ishia hapo hapo..!!
Usiniharibie, maana nimeshatuma PM kwake.!!
duh...............
Vipi my ex, mbona umepigwa na butwaa??
Naona unavyorukia rukia vidume hadi nasikia huruma lol
Hahahaaa.... Wacha tuu niruke ruke, wee si umenizingua!!
Umetupanga foleni kuanzia Posta mpaka Bgmoyo..! Yamenishinda..!!
We ulijiweka mwenyewe kwenye foleni
ulipewa card ya staff upite tu bila foleni ukakataa... lol
na kwa mujibu wa takwimu zilizopo baada ya kufanyiwa interview juzi lol!nahisi ipo KaengesaHahahaaaaa....... Ila huku nakoenda sijui kama nitakuwa na furaha kama niliyokuwa nayo huko!!
Yakinishinda nitarudi, nitaipanga hiyo foleni hata ikiwa imeshafika Tanga..!!
na kwa mujibu wa takwimu zilizopo baada ya kufanyiwa interview juzi lol!nahisi ipo Kaengesa
poLE SANA MZEE! sijajua dini yako, ila kama wewe ni mkatoliki nakushauli kujiunga na kikundi kiitwacho, NEO KATEKUMINATO. humo kuna wasichana wengi sana wazuri na wanaojituma kimaisha. Nenda kanisa la Upanga, oyetserbay, mwenge, na tegeta.
kama sio mkatoliki basi tafuta rafiki kijamu jamu hivi katika chuo cha ualimu chang'ombe pale hukosi kung'o msichana mzuri. sehemu nyingine ambazo wanwake wa kujituma utawapata kilaini, ni NBAA evening classes. Katika madarasa ya masomo ya jioni ya NBAA kuna wasichana wazuri sana na wenye mwelekeo mkubwa wa kimaisha. wewe jiingize humo halafu wabane katika group study.
mwisho ndugu yangu , vizia katika misiba ya makabila yenu na ya watani wenu. humo namo utazoa kwa wingi tuu.
kila la kheri mzee mwezangu
Bi shost nilijua hapa lazima utie neno..! Hahahaaaa..... Mpambe weyeeee!!
Aaaah.... Nitafanyaje nami nimedata kwake... Nitaipanga hivyo hivyo hiyo foleni, ipo siku nitafanikiwa tuu.. !!
af hujui tu mi navokufagilia jinsi unavoweza kumput huyu mtu in his respective place!MAKAVU!MAKAVU!KAMA HIVI!ahahahahhahahahahahhaha chezeya kuambiwa live,na walahi waweza kumtia hatiani kwa style hii,manake amezoea zile za PM zile oh The Boss mimi oh unajua nini sijui!sasa hizi za makavu hivi ah!SI HABA!we toka kwenye foleni huko wala si mahala pako,u have all one needs not to be kept in a queue!
kabisaaaa!akitaka autwange aumwage!Hahahaaa.... Hakuna cha PM.. Kitu hapa hapa kila mtu ajue..!!
Siwezi kuidhulumu nafsi yangu... Full kujilipua tuuu!!
Na hivi umenipa moyo wa kutopanga foleni... Sasa itabidi unitafutie hiyo card ili niwahi wahi!!
kabisaaaa!akitaka autwange aumwage!
aule mbichi au auanike!
ahahhahahhahhahahhaha GO FOR IT GIRL!
sasa ukitaka akae chini kabisa mwambie akupe kadi ya staff mwenyewe!yani mwenywe approvide funguo!af tuone kama hatafungua mlango!ahahahhahhaha chezeya STOCKHOLM SYNDROME wewe!
kha...sasa hapa jf ndio unaona utapata wakujiheshimu...hapa wote wasanii
Halafu wewe! Utachapwa makofi!! Sasa nani msanii?