Akija atatukosoa ulivyoshindwa kuandika vizuri fanya uhariri kwanzaFaiza foxy uko wapi mama?
Mara ya mwisho kumsifia asiyejal(r)ibiwa ni Nivomba 2015
Akija atatukosoa ulivyoshindwa kuandika vizuri fanya uhariri kwanza
HowBibi katoweka ghafla...
Sidhani kama kumuita Bibi ni kitu Kikubwa kiasi hicho....Una miaka mingapi mpaka awe bibi yako huyo? ? Obsession huwa zinaanza hivyo hivyo kama ilivyotokea kwa comrade Ngabu.
How
Akija atatukosoa ulivyoshindwa kuandika vizuri fanya uhariri kwanza
Mie sijaona mkuuSiku mbili tatu nyuma amekomenti kwa uzi humu..
Skirini shoti nione
siku hizi rada zake hazina kasi sana maana kashindwa mleta miss chagaitabidi tumuombe mshana jr amcheki kwenye GPS zake.