Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Your back mchuzi wa samaki je au umesahau
hehehe nimetoka kupiga samaki wa kuchoma sina habari,vipi shem mzima?
Your back mchuzi wa samaki je au umesahau
Brada maneno yamekwenda wapi
Haya huyu hapa...mwambie unamtafutia nini!!
I know..I know...Halafu wewe I'm real serious kwa nilichokwambia kuhusu yule mtu
I know..I know...
Nshaanza kumpotezea taratibu...ila na wewe bana!!!
Hahahaha...we hujatulia wewe!!That's ma girl, thank you ..
Bora yule yule wa siku zote ..
na wasi wasi sana na yule wa sokoni ..
Sana sana nyongeza za nyanya tu na pilipili hoho .. rudi zako mwaya
Hahahaha...we hujatulia wewe!!
Ila sidhani kama ana tatizo kiviiile...sema basi tu!!
u are back sweetheart?missed u
Acha hizo bana...ngoja next time ntamuuliza lile swali la "anae" alafu tuone!!We hudhani ..
Mi nafahamu anamatatizo ..
Acheze baja we njoo mwaya kwenye nage ..
Acha hizo bana...ngoja next time ntamuuliza lile swali la "anae" alafu tuone!!
Duhhhh kumbe natafutwa ..
Mi nipoo maeneo maeneo tu..
Uporoto ndo kapotea jumla ..
Alienda kumsalimu Klorokwin mpaka
Sasa hatumuoni tena ..
Mi nnalo tofauti na lako...I just wanna prove you wrong!!Usihangaike jibu unalo ..
Kama utajifanya umelisahau. Niambie niku PM...