Wapenzi wanaweza kukopeshana hela?

Bob12

JF-Expert Member
Feb 27, 2017
11,422
58,787
Habari za muda huu wana JF

Kama kichwa cha habari kinavosomeka,
Kwa ndugu,jamaa na marafiki kukopeshana ni jambo la kawaida sana ktk jamii zetu ili kuweza kuendesha maisha yetu.

Je
1 Hata watu ambao wapo ktk mahusiano ya kimapenzi,iwe ni wanandoa au ambao hawajafunga ndoa nao wanakopeshana?

2 Italeta madhara gani ktkt mahusiano yao?

Mchango wenu ni muhimu sana pamoja na ushauri pia
 
Hata wanandoa hawakopeshan sembuae
Wapenz boyfriend na girlfriend

Watu mkishashear shuka moja ujue hapo n.kusaidiana tu
 
Ninachofahamu ni kuwa wanasaidiana lakini kwa mfano mimi ni mweka hazina wa Women Forum kwa uaminifu ninaweza kumkopesha mpenzi wangu kwa makubaliano atazilipa muda gani. Ajue kua na mimi nimeaminiwa na pesa ya watu.
Dhh!!! Aiseee mkuu binadam
Hubadilika wakat wwt n kama
Kinyonga kila akipga hatua
Color hua anachange

Bora tu ukamtolee zako mwenyw
Kwa bank maana hata hutakua
Na,was was

Lakin hzo za wenyw dhuuuu!!
Hyo n pressure unakua unajitaftia
 
Dhh!!! Aiseee mkuu binadam
Hubadilika wakat wwt n kama
Kinyonga kila akipga hatua
Color hua anachange

Bora tu ukamtolee zako mwenyw
Kwa bank maana hata hutakua
Na,was was

Lakin hzo za wenyw dhuuuu!!
Hyo n pressure unakua unajitaftia
 
Mapenzi ni mapenzi,biashara ni biashara,pesa ni pesa ukielewa hivi unaweza mkopesha na yeye akiwa mwelewa akalipa,tofauti na majukumu yako! kama ni mke!
 
Mapenzi ni mapenzi,biashara ni biashara,pesa ni pesa ukielewa hivi unaweza mkopesha na yeye akiwa mwelewa akalipa,tofauti na majukumu yako! kama ni mke!
Kama nimekupata hivii
Chukua hii
 
mkwe,mke,dem,wakija kwangu kunikopa pay wataondoka na ushauri wa kifedha,hawa hawkopesheki ila wanasaidiwa! ukiwakopesha ujiandae na kuigeuza pesa uliokopesha kuwa msaada
 
Inatengemea na uimara wa uhusiano wenu, kiwango uaminifu mlionao. Kama humuamini mwenza wako kwenye masuala ya pesa ni bora msikopeshane.

Huko nyuma nilipewa hela nyumbani kununua sofware fulani... Mpenzi akakwama kwenye biashara zake, akaomba nimkopeshe hela. Kujifanya najua kupenda nikamkopesha. Aisee alinipiga kiswahili na hela sikurudishiwa hadi baada ya miezi. Nikashindwa muamini kwa jambo lolote lile na tukaachana.

Bora kama una hela mpeane tu kama zawadi ila sio kukopeshana. Mi saivi sikopeshi mpenzi...
 
Inatengemea na uimara wa uhusiano wenu, kiwango uaminifu mlionao. Kama humuamini mwenza wako kwenye masuala ya pesa ni bora msikopeshane.

Huko nyuma nilipewa hela nyumbani kununua sofware fulani... Mpenzi akakwama kwenye biashara zake, akaomba nimkopeshe hela. Kujifanya najua kupenda nikamkopesha. Aisee alinipiga kiswahili na hela sikurudishiwa hadi baada ya miezi. Nikashindwa muamini kwa jambo lolote lile na tukaachana.

Bora kama una hela mpeane tu kama zawadi ila sio kukopeshana. Mi saivi sikopeshi mpenzi...
Pole paprika kwa kuachana kisa mkopo
 
Kama nimekupata hivii
Chukua hii

Ila kwa wale wanaopenda/au wenye tabia ya kumfanya boy friend kuwa mzazi,wale wanaambiwa leo huli kama hujanunua mboga na wakijua mtoto wao hana kazi! usithubutu utakuwa umetoa msaada kwa hiyo inategemea na uelewa kwa kiwango kikubwa,nimewahi kupractse mara 5 3 was ok,1 half way and another 1 was worse!
 
Inatengemea na uimara wa uhusiano wenu, kiwango uaminifu mlionao. Kama humuamini mwenza wako kwenye masuala ya pesa ni bora msikopeshane.

Huko nyuma nilipewa hela nyumbani kununua sofware fulani... Mpenzi akakwama kwenye biashara zake, akaomba nimkopeshe hela. Kujifanya najua kupenda nikamkopesha. Aisee alinipiga kiswahili na hela sikurudishiwa hadi baada ya miezi. Nikashindwa muamini kwa jambo lolote lile na tukaachana.

Bora kama una hela mpeane tu kama zawadi ila sio kukopeshana. Mi saivi sikopeshi mpenzi...
Paprika unaishi humu nn? Mana kila uzi unapoanza nakuona nakuona
 
Usijaribu. Hiyo itakuwa ticket ya kuachana kama utamkopesha hela kubwa. Niliwahi kumkopesha wakwangu million mbili hakunirudishia na nilivyoona hana dalili za kunilipa nikaamua kuvunja mahusiano naye nikamtishia kumpeleka mahakamani.

kwa jeuri akanijibu kuwa niende kwa kuwa hatukuandikishana wala hakuwepo shahidi nikabaki naugulia maumivu pesa zimeenda na penzi limeota mbawa.
Hadi sasa ni mwaka wa tano tukikutana hakuna Cha salamu
 
Back
Top Bottom