nlcheka jana htrSehemu ya Gabriel alpoenda kumuona Linc hospitali imenifurahisha maana maneno aliyopewa na Linc kaishia kuzungusha kichwa tu.
Mana alfka kwa mbwembweSehemu ya Gabriel alpoenda kumuona Linc hospitali imenifurahisha maana maneno aliyopewa na Linc kaishia kuzungusha kichwa tu.
Dear hii si ya Ijumaa naona umeandika Thursday. Thanks kwa updateThurday
Nikiwe anaenda hosp na kumkuta linc yupo vizuri,nikiwe anasema afadhal kapata nafuu,linc anasema bado hayupo vizuri na kwamba anataka jaji ajue hali yake kuwa haitaji kifungo sababu ya ugonjwa ila nikiwe anakataa na kusema ugonjwa umeletwa na stress za kesi hivyo atapona muda si mrefu. Limc anaongelea angie kama mwanasheria wake,nikiwe anamwambia kuwa angie alishajitoa kuwa mwanasheria wake. Limc anasema anahitaji kuwa imara ili familia yake isisambaratike,nikiwe anahitaji share za baba yake na kumtaka linc amwamin ila linc hamwelew,wanaanza kubishana kuhusu gabriel
Uncle wa sizwe anaenda penthouse,zukisa anamwambia asizoee kwenda hapo ni sehemu ya biashara,uncle anamwambia zukisa kuwa anakataa kurud kwa sizwe kisa matlala,zukisa anasema sio matlala bali walishatalikiana na sizwe,uncle anasema ndio maana familia imemtuma hapo bado wanamhesabu kama mkwe wao na sizwe anamhitaji pia
Papa g anaingia sebulen na kumkuta nina anawasha mishumaa,papa g anamwambia nina angesubiri kuwe na ushahidi wa mwili aifanye mambo kama kachanganyikiwa,nina anasema anahitaji maua mazuri na pia ataenda kanisani kuongea nao kwa ajili ya misa ya mwanae,papa g anamtaka nina awaze biashara yao maana yeye ana uongozi,nina anakereka kwa baba yake kuwaza biashara wakat huo
Gabriel anaenda ofisin kwa nikiwe na kumchungulia dirishan kisha kwenda kugonga mlango,anaingia ofisin kanuna na maringo huku akiuliza kaam nikiwe kamuita,nikiwe anatabasamu na kumuomba msamaha gabr kwa kitendo cah kumwambia maneno ya kuudhi jana yake,wanaongea hapo na kukiss
Zukisa kaenda mtembelea linc hosp na kumwambia aliwapa hofu wakati akiongea vya kutisha,na kumtaka apone haraka familia inamhitaji,linc anasema hayo maneno inhekua vizuri akayatamka nikiwe,zukisa anamtaka linc akubali tu uhusiano wa nikiwe na gabr la sivyo hakuna atakayeshinda malumbano hayo.linc hakubal na kusema bora afe
Skhu anaenda the rec kaunta na kumkuta kamo na aphiwe hapo,skhu anamuuliza aphiwe kwann hakupokea simu yake,kisha wanataniana na kusuluhisha tofauti zao sababu ya majibizano waliyokua nayo jana yake,aphiwe anamwambia skhu ana zawad yake jikon wanaondoka,kamo anampigia simu lerato na kumtaka asipike ataleta chakula cha jioni.
Nikiwe na gabr wapo chumban kwa nikiwe huku gabr akimalizia kuvaa suruali yake,nikiwe akivaa viatu,gabr anamtaka nikiwe akae mbali na ben ila nikiwe anasema ben ni msaada kwake kimawazo. Gabr anamtaka nikiwe awah jion apike msosi,nikiwe anasema hana muda huo na kuondoka. Gabr anabaki anashangaa
Kanisan,zukisa anamwambia nina kuwa jumuia imekataa kuandaa misa kwa ajili ya msiba wa obakeng sababu familia ya nina haina uhusiano mzuri na jumuiya.nina anashangaa wakristo kubaguana na kusema mende jiaran yako kama unavyojipenda haifanyiwi kazi hapo na kuondoka
Nikiwe akiwa ofisin kwake na ben,anafundishwa na ben kuvuta sigara,nikiwe anasema akifanya hivyo ataonekana kama mwanaume na kulalamika barker anamsumbua,ben anampa ushauri nikiwe wa kuwa na wazo la kuhakikisha ana full control ya SG kwa kuwasiliana na mtu wa ben anayeish cape town atamsaidia kuipata na kwamba akiwa kwenye biashara emotion aache nyumban
Kanisan uncle wa sizwe anamwambia zukisa kuwa matlala akimchoka atamwacha solemba bora arud kwa sizwe wana mtoto na kwamba sizwe kamjengea nyumba kubwa huko home. Zukisa hakubali na kuondoka
Papa g yupo sebulen akiandika mambo ya biashara,nina anapita,papa g anamuita na kumuuliza ya biashara,nina anakasirika na kumjia juu papa g akimwambia yupo kwenye majuto ya kumuua obakeng ndo maana anajiweka kando ya maombolezo,nina anamtaka papa g aonyeshe kaam ana majonz,papa g anasema yupo hivyo hana cha kuonyesha. Nina anamwambia papa g akae mbali nae,au nina anaweza ondoka hapo home
Kamogelo anarud home na kumkuta lerato kalala kwenye kochi anamuamsha na kumwambia kaleta mosi ila hajui kama sechaba atakula,leratoa anasema atakula tu,kamo anasema hapat picha angekua anaishi kwa zamdela angekuaje na anamshukuru lerato kwa uahauri wake na kusema kapata akili sasa hawaz kuish kwa zamdela
Uncle wa linc anamtaka linc akubalianae na nikiwe na gabr,linc anakataa na kusema hana iman na gabr na hatak gabr aishi ndan ya nyumba yake au anaweza igeuza kampun vibaya. Uncle wa linc anakasirika kwa msimamo huo wa linc na kuondoka
Zukisa yupo kwa matlala ana mawazo,matlala anaingia na kuanza kualalmika kuhusu yaliyotokea mgodin,zukisa anamwambia kuwa uncle wa sizwe kaja na anamtaka arud home kwa sizwe.matlala anapigwa butwaa
Dear hii si ya Ijumaa naona umeandika Thursday. Thanks kwa update
Nikiwe kapumbazwa kweli na Gabriel,hata haoni behind the scene
Numbisa nampenda sana yuko smart sana kuekeza ishu hii ya isidingo