Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,239
- 1,095,412
Tayari mkuu
Please
tunaomba updates za jumatano
Please
tunaomba updates za jumatano
Ubarikiwe sana.Tayari mkuu
Ubarikiwe sana.
How old is Tyson's wife ?Amen
How old is Tyson's wife ?
Sawa sawa
Yan Jana nilijiuliza the same..... Kazid aiseeIla chuki ya Nikiwe kwa Linc imekuwa kubwa sana pengine hata kuliko ya adui zake ivi ni kwa sababu ya kifo cha katlegho pekee au kuna zaidi?
Ila chuki ya Nikiwe kwa Linc imekuwa kubwa sana pengine hata kuliko ya adui zake ivi ni kwa sababu ya kifo cha katlegho pekee au kuna zaidi?
Simkubali kabisa ni kweli linc ana makosa ila kumantain utajiri wa Sibeko kwa south hata hapa bongo lazima uwe mafia bila hivyo uishi kama SizweYan Jana nilijiuliza the same..... Kazid aisee
Ni kweli maana Linc amejitahidi sana kumbembeleza ila ni kama haoni nimependa hapo Aphiwe alipomwambia Kamo aache drama asante maana yote naifatilia kwakoKwa hali hiyo naona linc yupo radhi amuachie shares zake tyson kuliko nikiwe,hasa ukiangalia remote control ya nikiwe ni Gabriel
Ni kweli maana Linc amejitahidi sana kumbembeleza ila ni kama haoni nimependa hapo Aphiwe alipomwambia Kamo aache drama asante maana yote naifatilia kwako
Uko sahihi kwa aphiwe na sikuwa muangaliaji wa isidingo kindaki ndaki ila kipindi cha saga lake na Gab ndio nikajikita ni mzuri roho na muonekano kanajielewa sana nadhani wapo ila sio kiwango hichoKamo anazingua mno anamuumiza aphiwe kwa kujiweka mbele mbele kwenye suala la obakeng kupotea,aphiwe ana moyo wa pekee,in real life sidhan kama kuna wadada aina ya aphiwe
Ametisha